Ninaomba kumshauri msanii Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) ili aweze kuitangaza vema Wasafi Bet

Ninaomba kumshauri msanii Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) ili aweze kuitangaza vema Wasafi Bet

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.

Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet.

Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number +255654527779 au apige simu aseme anaomba kuongea na Emanuel Vitalis Otieno.

Ninaomba kura yako katika jukwaa la stories of change:>>>>> SoC 2022 - Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number +255654527779 au apige simu aseme anaomba kuongea na Emanuel Vitalis Otieno.
.[/B]

Tangu May hadi September hujapata smartphone mbona unaonekana Njaa kali sana utamshauri nini Msanii bilionea wa tatu Africa, [emoji851]

#No Offense#
 
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.

Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet.

Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number +255654527779 au apige simu aseme anaomba kuongea na Emanuel Vitalis Otieno.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Aisee, kwa hiyo hata simu huna?
 
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.

Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet.

Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number +255654527779 au apige simu aseme anaomba kuongea na Emanuel Vitalis Otieno.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Dah dogo karudi. Sasa hivi ni mfululizo wa threads
 
Back
Top Bottom