Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hahahaha sijui kwanini nimecheka kwa sauti, [emoji23][emoji2960]Anakuzingua tuu Mkuu.
Take easy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha sijui kwanini nimecheka kwa sauti, [emoji23][emoji2960]Anakuzingua tuu Mkuu.
Take easy
Hahahaha sijui kwanini nimecheka kwa sauti, [emoji23][emoji2960]
Wewe naona unashida ya wanaume wakuairtel huko, acha upuuzi mtu anapokuwa seriousTangu May hadi September hujapata smartphone mbona unaonekana Njaa kali sana utamshauri nini Msanii bilionea wa tatu Africa, [emoji851]
#No Offense#
I love reading and writing. Hivyo ndivyo nilivyozaliwa. Au ninakukera mkuu?Dah dogo karudi. Sasa hivi ni mfululizo wa threads
Mswahili haswaaaaaaaaa,Alafu wewe unaonekana mswahili Sana [emoji3][emoji3]
Piga mbata wewe
Hebu nitolee chogo lako refu kama ncha ya bamia,Wewe naona unashida ya wanaume wakuairtel huko, acha upuuzi mtu anapokuwa serious
🤔 Dah huu ni uzalilishaji wa kijinsia!Hebu nitolee chogo lako refu kama ncha ya bamia,
Pungasese weeee
Mswahili haswaaaaaaaaa,
Mwana darisalama mie.
Mkuu, msamehe bure tu huyo dadaSawa yako ninaichemsha hapa jikoni.
Jiandae
Mkuu, msamehe bure tu huyo dada
Yes brother, I'm doing great. Hakika Mungu ni mwemaSawasawa MKUU.
Kwema lakini
Yes brother, I'm doing great. Hakika Mungu ni mwema
Yes brother nipo jamvini kwa sasa. Msalimie sana shemeji yangu pamoja na watoto.Vizuri Sana.
Nimefurahi kuona umerejea jamvini
Dogo heshima kwako. Wala haunikeri. Tulikumiss Sana. Karibu tu nianzishe Uzi dogo Mbona harudi na alituahidi mwaka mmoja tu?I love reading and writing. Hivyo ndivyo nilivyozaliwa. Au ninakukera mkuu?
Heshima pia kwako kaka mkubwa. Stay blessed. One love.Dogo heshima kwako. Wala haunikeri. Tulikumiss Sana. Karibu tu nianzishe Uzi dogo Mbona harudi na alituahidi mwaka mmoja tu?
Hahahahaha unatetemeka hadi unachapia,Sawa yako ninaichemsha hapa jikoni.
Jiandae
Bado ninaendelea nayo mkuu.infantry solder, vipi ile project yako umeshamaliza?
Sawa mkuukama project ilisimama naomba kitengo kiongozi nijipambanishe