Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Ndio ni mimi mkuuYani mkuu wew umshauri diamond...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni mimi mkuuYani mkuu wew umshauri diamond...?
OkayDiamond anashauliwa na watu wa level yake
Sawa kaka mkubwa. Asante sana kwa ushauri wako mwananahuo ushaur unaotaka kumpa kishaur wewe kwanza utoke kweny ugumu wa maisha uliokua nao,, maana hata smart phone umeshindw kununua
Njaa ikishapanda kichwani haya ndo matatizo yake.
Thanks
Nimeipenda avatar yako
Haja bado ipo kaka mkubwa. Wasafi Bet inahitaji kujulikana zaidi na zaidimpka ww umeijua wasafi bet bas hamna haja ya matamgazo zaidi
mhhhAhahaaaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Siwezi kuuweka hapa kwa maana watu wataiba kama walivyoiba ushahuri wa Vodacom wa kutuma na ya kutolea.Weka huo ushauri hapa atasomewa na chawa wake
So unauza ushauri?Siwezi kuuweka hapa kwa maana watu wataiba kama walivyoiba ushahuri wa Vodacom wa kutuma na ya kutolea.
Hujui matajiri wote wamewaajiri watu wa kawaida Ila wenye ujuzi na elimu juu ya masuala mbalimbali?![emoji23][emoji23] Masikini anataka kumshauri tajiri jinsi ya kupata pesa.
Nenda kamshauri Bakhresa.Hujui matajiri wote wamewaajiri watu wa kawaida Ila wenye ujuzi na elimu juu ya masuala mbalimbali?!
Pungasese[emoji3064] Kiswahili kumbe ni kingi hiviHebu nitolee chogo lako refu kama ncha ya bamia,
Pungasese weeee
Kaka upo?Pungasese[emoji3064] Kiswahili kumbe ni kingi hivi
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Siuzi ila ninahofia kampuni zingine za betting zitaiba hiyo ideaSo unauza ushauri?
Kama huuzi weka wazi idea mtu akiitumia sio kesi.Siuzi ila ninahofia kampuni zingine za betting zitaiba hiyo idea
Kwani kuna ubaya?Yaani apambane mwenyewe mpaka aanzishe na isimame halafu wewe utoke utokako ukampe ushauri?