Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #61
I'm a die-hard WCB fan. Hivyo hii idea ni kama zawadi special kwa diamondKama huuzi weka wazi idea mtu akiitumia sio kesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm a die-hard WCB fan. Hivyo hii idea ni kama zawadi special kwa diamondKama huuzi weka wazi idea mtu akiitumia sio kesi.
Inawezekana pia kama atapata fursa ya kufanya hivyoNenda kamshauri Bakhresa.
Thanks brotherWelcome back mkuu Infantry Soldier
Ninataka hela lakini sipo interested saaana na Sports Betting industryKaanzishe ya kwako upige hela mkuu. Au wewe hutaki hela?
Wenye njaa Kali hawawezi kuwa na ushauri mzuri? Mkuu, kumbuka alichokosa yeye ni Hela tu, na Wala sio ubongo/akili.Tangu May hadi September hujapata smartphone mbona unaonekana Njaa kali sana utamshauri nini Msanii bilionea wa tatu Africa, [emoji851]
#No Offense#
Mkuu, achana naye huyo. Please ninaomba kura yako kule kwenye jukwaa la stories of change ili nipate pesa ya vocha. Nimeku-tag bila shakaWenye njaa Kali hawawezi kuwa na ushauri mzuri? Mkuu, kumbuka alichokosa yeye ni Hela tu, na Wala sio ubongo/akili.
Ngoja nisogelee pande zile mkuu. JF hawanieleteagi notifications siku hiziMkuu, achana naye huyo. Please ninaomba kura yako kule kwenye jukwaa la stories of change ili nipate pesa ya vocha. Nimeku-tag bila shaka
Hii Hapa Mkuu>>> SoC 2022 - Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)Ngoja nisogelee pande zile mkuu. JF hawanieleteagi notifications siku hizi
Kwani haiwezekani mkuu?😂😂 Masikini anataka kumshauri tajiri jinsi ya kupata pesa.
Inawezekana, haya nenda kamshauri.Kwani haiwezekani mkuu?
Sasa huo ushauri umeupata wapi kama huna interested na betting.?Ninataka hela lakini sipo interested saaana na Sports Betting industry
Nimesema nina interest kidogo saaanaSasa huo ushauri umeupata wapi kama huna interested na betting.?
Sawa bossInawezekana, haya nenda kamshauri.
Una interest kidogo sana, sasa unadhani hicho kdg unachotaka kumwambia hajawahi kuambiwa na hao wanaomzunguka.?Nimesema nina interest kidogo saaana
Ndio bossUna interest kidogo sana, sasa unadhani hicho kdg unachotaka kumwambia hajawahi kuambiwa na hao wanaomzunguka.?
Niliaga ila sasa nimerudi na nguvu mpyaDogo nakumbuka uliaga kabisa humu..
Karibu sana..tulikumiss sana!Niliaga ila sasa nimerudi na nguvu mpya
Nani wa kutumia kampuni ambazo ODD zake ni HOME DROO WIN hata akifanya marketing vipi hakuna mtu anakwenda kuwekeza sehemu ambapò probability ya kupoteza ni kubwa. Kizuri wabongo sasa wanajua ni site gani zenye option gani angalau kuna probability ya ku win. Watu walishatoka kubet kwenye soka wapo kwenye michezo yenye optuon nyingiHabari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.
Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet.
Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number +255654527779 au apige simu aseme anaomba kuongea na Emanuel Vitalis Otieno.
Ninaomba kura yako katika jukwaa la stories of change:>>>>> SoC 2022 - Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Huna unalojua wewe,Nenda kamshauri Bakhresa.