Ninaomba mchanganuo wa biashara rahisi... Wanangu hawajalipiwa karo na maisha hayaendi. Nina 500,000 tu ndugu zangu, nifanye nini?

Ninaomba mchanganuo wa biashara rahisi... Wanangu hawajalipiwa karo na maisha hayaendi. Nina 500,000 tu ndugu zangu, nifanye nini?


Toka ARUSHA huko NENDA dar katafute maisha..Unapokua huna hela na unaona mkoa uliopo Hauna Furrsa ONDOKA kwa MUDA sio kwamba unaikimbia familia yako ila MAISHA ndio yanayokufanya hivyo. so utafanya kazi utawajali familia yako na kkwa kua umejiajiri una uwezo wa Kila WIKI kurudi ARUSHA kusalimia familia yyako kama kweli ukifika huko dar UTAPAMBANA ipasavyo.

Mwanaume unatakiwa uwe kama mwanajeshi ukishaamua kuwa mfanyabiashara/mkulima unaweza ondoka kwenda kazini ukakaa miezi kadhaaa kisha ukarudi MUHIMU tu uwe UNAJITAMBUA
 
Hahah ila wahindi kwa fursa
Sio watu wa mchezo kabisa
Hatari sana kina Kanjibai..wanajua pesa haoooo Asilimia 70 ya wanaouza maji,juice,soda take away wale wanaotembeza Wanapewa na Wahindii..tena Haina cha mdhamana wala nini ni wewe tuuu na utayari wako Fika pale OMBA mzigo unapewa..
 
NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.


Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
Mkuu hii kazi ushaifanyaga?
 
Mi ni mchangiaji tu,, nilikua namsaidia mwenye mada..

Nadhani atakua kasoma
Toka ARUSHA huko NENDA dar katafute maisha..Unapokua huna hela na unaona mkoa uliopo Hauna Furrsa ONDOKA kwa MUDA sio kwamba unaikimbia familia yako ila MAISHA ndio yanayokufanya hivyo. so utafanya kazi utawajali familia yako na kkwa kua umejiajiri una uwezo wa Kila WIKI kurudi ARUSHA kusalimia familia yyako kama kweli ukifika huko dar UTAPAMBANA ipasavyo.

Mwanaume unatakiwa uwe kama mwanajeshi ukishaamua kuwa mfanyabiashara/mkulima unaweza ondoka kwenda kazini ukakaa miezi kadhaaa kisha ukarudi MUHIMU tu uwe UNAJITAMBUA

Sent using Unknown device
 
Su
Unauliza ARUSHA??? watu WANAPIGA HELA mbeya we unasema ARUSHA? huko jua haliwaki?? au kwakua upo kule juuu umasaini jua linakuja mara moja na kukimbia?? Ingia pale MJINI KATI mzee baba...biashara hiii sio unakaa kwenye sehemu watu wanafanya Kazi za maofisini..unaenda kwa wapiga debe Stand,unaenda kule kwa wapasua mawe Miguu kazi yake kutembea mkuuu Hii sio biashara ya FREM mkuu eti unamsubiri mteja afate bidhaaa (ndio mana nilimshauri atafute vijana) yeye akipita huko vijana wanapita kule.

Hata uwe wapi Maji yananyweka..Ndoo ununue 200 Utoe chupa za maji 20 kila chupa uuze 200 Utasema atakosa hela? Labda awe mvivu na sio mtafuta hela kweli.
Sure Mkuu,UBISHOO NA UVIVU NI NYUMBA YA NJAA!
 
Hatari sana kina Kanjibai..wanajua pesa haoooo Asilimia 70 ya wanaouza maji,juice,soda take away wale wanaotembeza Wanapewa na Wahindii..tena Haina cha mdhamana wala nini ni wewe tuuu na utayari wako Fika pale OMBA mzigo unapewa..
Hahahah mradi upeleke hesabu yake!
 
Bado hajachelewa kama akiamua ifanyia kazi idea SASA hivi akipiga kazi kwa bidiii MWEZI 1 tu kwa faida ya 30,000 au tufanye kakosa kabisa apate 20,000 ina mana kwa mwezi ana 600,000..Mvua zikianza mfukoni ana Laki 600,000 FRIZA lake analo atabuni biashara nyingine maana MTAJI atakua nao..Na biashara yake ya Maji ataendelea nayo kwa kuwaachia Vijana hata kama kuna mvua ya Mafuriko kila siku HAKOSI 10,000 (uhakika hiyo bila chenga)..sasa wakati vijana wanaleta hesabu ya 10,000 per day Huku ile LAKI 6 yake nauhakika ATAKUA amepata kabiashara kengine.

Ambapo akichanganya faida ya biashara mpya na ya zamani anaenda kule kule kwenye 30,000 (per day) = 900,000 kwa mwezi.
Ni yeye tu kuamua na kuwa na maamuzi ya chap chap haina Kuzubaa hii vijana wanasema.

Akiona haoni cha kufanya wakati wa Mvua arudi hapa Aombe ushauri Apewe idea...MVUA ina FURSA kuliko JUA kwa wenye mitaji yetu ya 500,000 (kushuka chini)...yani haya maisha hayana kisingizio ukiwa huna hela ni UZEMBE.

kISINGIZIO KINACHOKUBALIKA POPOTE NI MAGONJWA YANI UKIWA DHAIFU KIAFYA HAPO HAMNA UJANJA ILA AFYA IKO POA UKIKIMBIZWA NA MBWA UNAJUA KUKIMBIA MPK NA KUPANDA MTI BRO/SISTERS HAMNA WA KUMLAUMU.
Toka ARUSHA huko NENDA dar katafute maisha..Unapokua huna hela na unaona mkoa uliopo Hauna Furrsa ONDOKA kwa MUDA sio kwamba unaikimbia familia yako ila MAISHA ndio yanayokufanya hivyo. so utafanya kazi utawajali familia yako na kkwa kua umejiajiri una uwezo wa Kila WIKI kurudi ARUSHA kusalimia familia yyako kama kweli ukifika huko dar UTAPAMBANA ipasavyo.

Mwanaume unatakiwa uwe kama mwanajeshi ukishaamua kuwa mfanyabiashara/mkulima unaweza ondoka kwenda kazini ukakaa miezi kadhaaa kisha ukarudi MUHIMU tu uwe UNAJITAMBUA
NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.


Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
Safi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.


Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
Upo smart sana braza, nimekukubali kwa wazo dogo lakini very viable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kULE biashara inatoka sana ndio mana wanauza sh.100 Mtu anaepiga biashara ile Gerezani Anauhakika wakulaza LAKI kibindoni Kila siku...Maji hayachukui Round yameisha..Sema ukiwa unafanya ile biashara kwa kule gerezani basi inakubidi uwe na Friza la maana NA SIO MOJA UWE NAYO SI CHINI YA matatu
Maji ya kandoro si yalipigwa marufuku mkuu? Au kibishibishi tunasonga?
 
Maji ya kandoro si yalipigwa marufuku mkuu? Au kibishibishi tunasonga?
hiyo hata siijui mkuu, ndo kwanza naiskia kwako Hata ivyo kibish tu zinaenda bwana maana wakikataza kandoro wawakataze na mama ntilie kama wanaweza.
 
hiyo hata siijui mkuu, ndo kwanza naiskia kwako Hata ivyo kibish tu zinaenda bwana maana wakikataza kandoro wawakataze na mama ntilie kama wanaweza.
Sawa mkuu, Ni idea nzuri natamani ningekuwa dar. Huku nilipo hiyo idea haitalipa kivile
 
Tafuta eneo lenye makazi ya watu au mkusanyiko wa watu fanya biashara ya kuuza kahawa na kashata mida ya jioni/asubuhi,fungua hata vibanda vitatu maeneo tofauti tofauti...uwawekee na radio, wasikilize Dw,BBC n.k
kahawa na kashata atatumia kiasi gani cha pesa kutengeneza na atauza kwa kipimo kipi na bei ipi ili apate faida?
 
kahawa na kashata atatumia kiasi gani cha pesa kutengeneza na atauza kwa kipimo kipi na bei ipi ili apate faida?
Kuna watu wanaishi kutokana na hizi biashara,ndio maana vijiwe vipo na haviitaji mtaji mkubwa cha muhimu ni uthubutu na kupata eneo lenye msongamano wa watu.
 
Kuna watu wanaishi kutokana na hizi biashara,ndio maana vijiwe vipo na haviitaji mtaji mkubwa cha muhimu ni uthubutu na kupata eneo lenye msongamano wa watu.
sawa sijakataa Equation x nachotaka hapa ungetufafanulia atleast na mchanganuo wa mahitaji ili mtu ajue anaanzia wapi,
 
sawa sijakataa Equation x nachotaka hapa ungetufafanulia atleast na mchanganuo wa mahitaji ili mtu ajue anaanzia wapi,
Kwa haraka haraka nitaweka hivi:-
  1. Ufuta 1kg@5000
  2. karanga 1debe@20,000
  3. sukari 5kg@2500
  4. kahawa 10pkt@ 1000
  5. Benchi za mbao 4@15000 (ukiweka viti vya plastic wateja hawataki)
  6. Tangawizi 1000
  7. Maji ndoo 500
  8. Birika 20000
  9. Chupa ya chai 2@15000
  10. Mkaa 1debe@10000
Tumia nguvu zako kutengeneza na kucheka na wateja
 
Wengi wanapenda mawazo ya biashara ya kufungua yard ya magari kwa laki 2,bila kujua ili ufike pakubwa lazima uanzie chini kama changamoto ni mtaji.
 
Back
Top Bottom