Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Mmh haya maelezo kuna kitu hakiko sawa.
 
Mmeanza ujinga sasa kutoka Form Iv direct Hadi PGDE? Tena UDSM🙄🙄
tuwekee interval ya Miaka tangu ulivyoanza kusoma mpaka ulipotoka Kazini, Na hivyo vyeti. Sababu yako ya cheti Cha form 4 kuchomwa script yake hazijakaa vizuri. Kama lengo Lilikua ni kujitambulisha kama veteran muuzaji basi umezunguka sana
 
Muonee hata huruma
 
UDSM kuna diploma ya Education?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…