RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Nimekuja mbio kujua nini tena kimemkumba my Miss Natafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea pokea nakupigiaSio jf labda fesibuku huko
😀😃😃Sio jf labda fesibuku huko
Mmh haya maelezo kuna kitu hakiko sawa.Asante sana kipenzi.
Hapana, ni kwamba niliuziwa cheti cha mtu aliyemaliza form 4 nikaenda nacho kusomea ualimu ngazi ya certificate na diploma kwa kutumia jina lake.
Kipindi hiko mimi nilikuwa nimemaliza kidato cha nne miaka kama 3 iliyopita na cheti changu kilichomwa moto na msichana wetu wa kazi.
Hivo nilipanda na jina lake mpaka kufikia ngazi ya diploma (katika kujiendeleza) ndipo nikatumbuliwa hukohuko.
Huoni muda huu ni kama ataongeza shida... maana ndoa nayo ni shida kama zingine au zaidiVp huna mpango wa kuishi na mtu anayetafuta mwenza?
Sa mbona videocall nipo pabayaaaa 😹😹Pokea pokea nakupigia
Ww n mshangazi kwani?Mungu akinipa muhitaji, nitaishi nae.
Ila kwa hali hii na umri huu nadhani sijui kama itawezekana.
Umri umeshaenda sana.
Mtoa mada anasema anaweza kulea watoto, sasa imagine unampa kazi ya kuja kulea watoto wako itakuwaje hapo ndani, mwisho wa siku hadi ww mke unaambukizwa magonjwa ya zinaa kupitia mumeo na chanzo n huyo bidadaKitendo cha kusema wewe ulikuwa unajiuza tarajia kupata wateja na sio waajiri..!!
Muonee hata hurumaMmeanza ujinga sasa kutoka Form Iv direct Hadi PGDE? Tena UDSM🙄🙄
tuwekee interval ya Miaka tangu ulivyoanza kusoma mpaka ulipotoka Kazini, na hivyo vyeti
Sababu yako ya cheti Cha form 4 kuchomwa script hazijakaa vizuri. Kama lengo Lilikua ni kujitambulisha kama veteran muuzaji basi umezunguka sana
Njoo Skype basi no yangu ile ile inaishia na 36Sa mbona videocall nipo pabayaaaa 😹😹
UDSM kuna diploma ya Education?Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.
Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.
Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba
Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
Mbona yeye hatuonei huruma kutudanganya watu wa wazima lakiniMuonee hata huruma
Mnapangwa ohhh 😹Wee mbona dhambi itakuwa 🤣🤣
Alitaka mada yake ifike mujini kariakoo 😃😀Mbona yeye hatuonei huruma kutudanganya watu wa wazima lakini