Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Mleta uzi ni tapeli.
 


Hakuna justification yeyote ya mwanamke kujiuza
 
Ningeweza kuweka hata ushahidi wa hiki ninachosema hapa hadharani, ila kwa kuwa umeshasema mimi ni mpuuzi naona haina haja.
Ila jua tu kuwa nilisomea ualimu kwa kutumia cheti cha form 4 cha mtu na ndio hikohiko nikapanda nacho.
Silazimishi ukubaliane nami ila mimi ndio ninaejua ukweli.
 

Naweza saidia mdogo wa kusoma kupitia ufadhili fulani, fanya hivi:

1. Sema Shule anayosoma.
2. Kidato na darasa.

Usiseme jina mimi nitamsaidia kupitia Shule!

Hayo mambo ya kujenga sijui mnayakimbiliaga ya nini; hayana maana kabisa Kama una struggle!

Asante!
 
Sidhani na wala sifikirii kurudi huko.
Niliacha baada ya kuona natumika ndivyo sivyo
 
hata na mm baada ya kusoma hayo maelezo yake kuhusu chet, nimepata ukakasi.
 
Asante sana.
Ndio maana nimekiri kuwa sihitaji kurudi tena huko.
Sikubahatika kupata mtoto wala kuolewa.
 
Pole sana dada ALLAH akunusuru.

Hebu anza kufanya yafuatayo

1. Jifunze kutengeneza keki, utaweza kusupply kwenye birthdays, harusi, etc

2. Biashara ya chakula inalipa, tafuta sehemu nzuri yenye watu wengi uanze kupika.

3. Kusanya kuku wa kienyeji huko Morogoro uwe unawaleta Dar kuwauza. Baadae unaweza kuwa unakusanya mbuzi huko mikoa ya jirani na dar unawalera dar unauza

4. Njoo Dar tafuta soko moja utafute meza uwe unauza viazi vya chips etc. Kwa siku unawezankuuza hata gunia

5. Anza kutengeneza vitafunio kama vile maandazi etc, uwe unasambaza ktk maduka kadhaa wanakuuzia

Mtangulize Mungu mbele atakusaidia Insha Allah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…