MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mleta uzi ni tapeli.Huu ni uongo.
Kwanza, kinachomata haswa ni index number ya kidato cha nne. Cheti huwa ni nyongeza tu baadae, hapa nazungumzia katika mchakato wa kuomba vyuo, nk.
Lakini pia, ukichoma cheti ama kukipoteza kwa bahati mbaya, utaratibu upo very clear. Omba loss report, andika barua kwenda NECTA, watakutengenezea cheti kingine.
Kudai ulitumia cheti cha mtu kwa sababu chako ulichoma ni upuuzi usio na mantiki.
Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.
Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu.
Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.
Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza).
Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini.
Pia nahitaji kumalizia nyumba
Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu)
Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
1. Sasa kama umesoma ilikuwaje kutumia vyeti feke?1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi
Ningeweza kuweka hata ushahidi wa hiki ninachosema hapa hadharani, ila kwa kuwa umeshasema mimi ni mpuuzi naona haina haja.Huu ni uongo.
Kwanza, kinachomata haswa ni index number ya kidato cha nne. Cheti huwa ni nyongeza tu baadae, hapa nazungumzia katika mchakato wa kuomba vyuo, nk.
Lakini pia, ukichoma cheti ama kukipoteza kwa bahati mbaya, utaratibu upo very clear. Omba loss report, andika barua kwenda NECTA, watakutengenezea cheti kingine.
Kudai ulitumia cheti cha mtu kwa sababu chako ulichoma ni upuuzi usio na mantiki.
Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.
Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.
First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.
Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu.
Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.
Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.
Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.
Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza).
Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini.
Pia nahitaji kumalizia nyumba
Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.
1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.
2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu)
Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.
Asanteni.
Hao jamaa ndio Wataalamu (phycologist) ausiyo..
Sidhani na wala sifikirii kurudi huko.Kwa nini uliacha kujiuza?
Je, ulipata hela za kutosha au ni vipi?
Kwa uamuzi wako wa kuweka kila kitu hapa, ukisema uliwahi kujiuza NA SASA HUTAKI TENA KUJIUZA, umeamua kutafuta kazi.
Huoni kama waajiri wako wanaweza kukusumbua?(Maana past yako inajulikana)
Je huoni kama watu watakutafuta wakiwa na lengo Lao la kificho, wakijaribu kukushawishi kwa hiyo kazi?
Dada, ulikua unajiuza, na kwa bandiko lako hili, muda si mrefu utarudi katika kujiuza hata kama hupendi. Maana hakuna namna, hakuna mwanaume atakutafuta akusaidie kazi tu peke yake behind atakua na interest zake na hiyo ni kwa sababu umewapa past yako.
hata na mm baada ya kusoma hayo maelezo yake kuhusu chet, nimepata ukakasi.Huu ni uongo.
Kwanza, kinachomata haswa ni index number ya kidato cha nne. Cheti huwa ni nyongeza tu baadae, hapa nazungumzia katika mchakato wa kuomba vyuo, nk.
Lakini pia, ukichoma cheti ama kukipoteza kwa bahati mbaya, utaratibu upo very clear. Omba loss report, andika barua kwenda NECTA, watakutengenezea cheti kingine.
Kudai ulitumia cheti cha mtu kwa sababu chako ulichoma ni upuuzi usio na mantiki.
Asante sana.Pole sana dadq,
Huna mtoto?
At 42 jitahidi usipate depression, kuanzia 35-55 usipoangalia depression itakumaliza sababu ni umri wa kusahihisha makosa, ikitokea ukakosea zaidi unaangukia kwenye depression.
Tafuta kazi halali, hata ndogo ya kuingiza kipato ufanye. Ukirudi kwenye kujiuza na umri huo ni hatari kwako.
Ndio ni madaktari pale muhimbiliHao jamaa ndio Wataalamu (phycologist) ausiyo..
Anadai alitumia cheti ambacho siyo chake kusomea hiyo anayodai Diploma.1. Sasa kama umesoma ilikuwaje kutumia vyeti feke?
2. Hivi toka lini UDSM wakatoa diploma ya ualimu?
Nakuona kama muongo Fulani hivi!!
Sasa si afanye kazi ya taaluma nyingine aliyosomea?! Nimeuliza UDSM walikuwa wanatoa diploma ya ualimu lini?!Anadai alitumia cheti ambacho siyo chake kusomea hiyo anayodai Diploma.
Mama Samia akisoma huu ujumbe wako atakupiga marufuku kutumia jina lake.Nenda kale hiyo nyumba. Unafanya ujenzi huku ukiwa hujui kesho utakula nini? Wewe inabidi urudi kujiuza.
Usimamie apate huduma vizuriNdio ni madaktari pale muhimbili
1. Sasa kama umesoma ilikuwaje kutumia vyeti feke?
2. Hivi toka lini UDSM wakatoa diploma ya ualimu?
Nakuona kama muongo Fulani hivi!!
MmmmhNenda kale hiyo nyumba. Unafanya ujenzi huku ukiwa hujui kesho utakula nini? Wewe inabidi urudi kujiuza.