Kwa nini uliacha kujiuza?
Je, ulipata hela za kutosha au ni vipi?
Kwa uamuzi wako wa kuweka kila kitu hapa, ukisema uliwahi kujiuza NA SASA HUTAKI TENA KUJIUZA, umeamua kutafuta kazi.
Huoni kama waajiri wako wanaweza kukusumbua?(Maana past yako inajulikana)
Je huoni kama watu watakutafuta wakiwa na lengo Lao la kificho, wakijaribu kukushawishi kwa hiyo kazi?
Dada, ulikua unajiuza, na kwa bandiko lako hili, muda si mrefu utarudi katika kujiuza hata kama hupendi. Maana hakuna namna, hakuna mwanaume atakutafuta akusaidie kazi tu peke yake behind atakua na interest zake na hiyo ni kwa sababu umewapa past yako.