Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.

Asanteni.
Mungu akupe hitaji la moyo wako.Pokea kadiri ya Imani yako. All in all usikate tamaa
 
Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.

Asanteni.
Pole sana. I hope utafanikiwa katika hili. Mungu yupo karibu sana na wampendao.
 
anadai alishawahi kuwa changudoa kwa miaka 6 hapohapo anakwambia anaweza kulea watoto kama yaya
Nashangaa watu wengi wanampa pole wakati huyo mpuuzi ameandika upumbavu wake, sasa nawaza n kwamba hao watu wote hawajasoma mada au vp.

Hapo familia nzima mnaungwa kwenye gridi ya taifa, saa 24 mwanga wa tanesco unawaangazia na mnapewa bonus ya nyumba kuwa danguro
 
Naweza saidia mdogo wa kusoma kupitia ufadhili fulani, fanya hivi:

1. Sema Shule anayosoma.
2. Kidato na darasa.

Usiseme jina mimi nitamsaidia kupitia Shule!

Hayo mambo ya kujenga sijui mnayakimbiliaga ya nini; hayana maana kabisa Kama una struggle!

Asante!
Ushauri mzuri,huuu nimeupenda
 
Duh,nashindwa niandike nn kwa changamoto hiyo.
SAWA una miaka 42 mmezaliwa wawili tu.
Vp wewe huna familia,au hujawahi kuolewa ama kuzaa.
Maana mdogo wako kama yupo kidato Cha tatu maana ake umri wake ni chini ya miaka 16.

Na je,hakuna ndugu yeyote aliye karibu na wewe!.

Inasikitisha,inauma,ila imenibidi nijiulize baadhi ya maswali na ikanibidi nikuulize pia maswali hayo.

Pole kwa maswahibu.
 
Mleta uzi ni tapeli asiye na akili.

Ili uwe tapeli tena wa kuwatapeli wanaJF, basi uwe guru katika kutengeza uongo unaoendana na ukweli kwa zaidi ya 90%. Basi hata uchukue hela zao ila ukitumia akili nyingi katika strategy zako.

Haiwezekani abadani ukasoma UDSM Diploma.

Nimeuliza anasema eti ni PGD.
Post Graduate bila Degree? Ama bila Advanced Diploma? Aisee!.

Anachodai alitumia cheti cha mtu kwa sababu chake kiliteketea, hii inamake sense kwa wapuuzi wenzake tu.

Anadai wazazi wake walimuacha na mdogo wake. Huku gap yake yeye na mdogo wake wa KIPEKEE ni zaidi ya miaka 25, hii inakuingia akilini? Kama ndiyo, basi wewe ni mpuuzi pia.

Mtoa mada, anatumia sensitiveness ya swala la kujiuza. Kuwa idadi kubwa ya wanajamii hawawezi na kamwe wasingetaka mtu aliyeacha kujiuza ila arudi huko. Hivyo, anataka huruma ya jamii juu yake.

Huu ni ukuda. Upumbavu wa ajabu.
Upo makini mkuu, Safi sana
 
Nashangaa watu wengi wanampa pole wakati huyo mpuuzi ameandika upumbavu wake, sasa nawaza n kwamba hao watu wote hawajasoma mada au vp.

Hapo familia nzima mnaungwa kwenye gridi ya taifa, saa 24 mwanga wa tanesco unawaangazia na mnapewa bonus ya nyumba kuwa danguro
ana nia ovu
ni hatari sana kukaribisha yaya wa historia hii awe kakwambia mwenyewe au kwa kusikia tuh
 
Habari wana Jf kwa ujumla.
Sina muda mrefu tangu nijiunge na jumuia hii chini ya kaka Max.

Ni hivi, napitia msongo mkali sana wa mawazo yaani nikisema ni mkali namaanisha.

First of all nilikuwa muajiriwa serikalini na likapita suala la vyeti feki hapo nilikuwa natumia cheti cha mtu na kazi ikawa ndio basi.

Sababu nilipoteza wazazi ikabidi ile akiba niliyojiwekea kipindi nafanya kazi niitumie kwa ajili ya kumsomesha mdogo wangu ambae niliachiwa na wazazi pamoja na kununua kiwanja tu. Hali ikazidi kuwa mbaya zaidi, ikabidi niingie kwenye kazi ya kujiuza.

Nilichokuwa nafanya ni kumuandalia mdogo wangu sare za shule na pesa ya matumizi usiku ili hata kama nitarudi asubuhi au kama sitarudi kabisa basi apate kujiandaa na kwenda shule (shule na nyumbani ni kama km 1 tu) mwenyewe.

Nilifanya hiyo kazi kwa miaka 6, nikapata pesa na kuanza ujenzi wa nyumba yangu ya kuishi pamoja na mdogo wangu.

Shida imeanza tena, nyumba haijakamilika na pesa zote nimemaliza na mdogo wangu mwaka huu anaingia kidato cha 3.
Sitaki tena kurudi kule nilipotoka (kujiuza). Nahitaji mdogo wangu akue bila kujua nafanya nini. Pia nahitaji kumalizia nyumba

Kama kuna mtu ana uhitaji wa mtu wa kufanya kazi naomba nipewe ajira.

1. Nina diploma ya Education niliyoipata pale UDSM kabla sijatumbuliwa.

2. Nina uzoefu katika kulea watoto na pia ninajua sana upishi (nilisomea hotel management kabla sijaenda kusomea ualimu), Umri wangu ni miaka 42 na niko Morogoro.

Asanteni.
Pole mkuu.
Nakupongeza kwa hili.
Umepona na amua kupona.
Wadau,kama kuna namna msaidieni huyu binti.
 
Back
Top Bottom