We bro huna uwezo wa kusomesha hizo, shule,we somesha st kayumba,
MTU anayefikiria vzr,huwezi kusema hakuna LA maana shule za English, medium, kwamba hakuna tofauti ya shule hizo na zile st kayumba.
Unataka, kutuambia, st Mary's, st Gasper, feza,baobab, DCT,ni sawa na mwenge shule ya msingi, mapambano shule ya msingi? ;we kichwani haupo sawa,
Gazeti LA jana LA mwananchi, katika shule za temeke,kidato cha pili,wanafunzi, wanne kati ya watano, wamepata div 4,kwenda chini! Wemgine wote ni makarai!
Sababu zilizochangia, waalimu hawana motisha, vitendea kazi, miundombinu duni,
Shule za kulipia, tunatafuta sehemu ye ye miundombinu, vitabu, maktaba,maslahi mazuri kwa waalimu ili wafindishe vzr, sio kuuza visheti, kabab, kwa wanafunzi!
Mtoto anasoma makongo(dar) anakaa bunju!kila siku kwenye madaladala, mpaka afike nyumbani, amechoka, hawezi, hata kujisomea, Bora nilipe ma milioni, afatwe na basi! Aende comfortably, apate muda wa kucheza games, na, kujifunza vitu vingi,