Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Mimi naamini ishu ya mafanikio ya mtu haijalishi kasoma Kayumba au wapi huko International schools sana watoto wanatengenezewa connections tu kutokana na kipato cha wazazi wao sio kwa kuwa they are better than Kayumba students
Hii ndio Point Mtoto wa Tajiri ambaye analipiwa Ada 10M


Anapofanikiwa sio kwa sababu amesome St Kansiime.

Ni kwa sanabu tayari mzazi wake ana potential kwa hiyo usijw ukajikakamua mambo usiyoyaweza.

Mzazi mwenye uwezo huo u can imagine kwamba Watoto wake hata wasiposoma wanakua juu tu.
 
Kupasua mwili wa binadamu sio ishu sana, unahitaji mkasi na kisu tu.

Hata teja wa barabarani ukimfundisha basics za HUMAN ANATOMY anaweza kupasua tumbo na kulishona.

Hiyo siyo elimu ya KUFIKIRI. Hiyo ni elimu ya KUSOMA na KUKARIRI NOTES.
Unasema kweli niliwahi kuona jamaa ni darasa la 7, alianza akiwa anafyeka majani hospitalini baadae akawa nesi, akawa msaidizi wa daktari mpasuaji, mpaka anafanyiwa zengwe kwenye hiyo hospital naye alikuwa akipasua wagonjwa mbalimbali walioletwa hospital hiyo na wakakuta daktari mpasuaji hayupo, ameokoa maisha ya wengi sana.
 
Dokta tuache masihara, tuseme tu ukweli, ukitaka kupasua mtu unahitaji zana kuu mbili basi: KISU na MKASI.

Hata teja ukimfundisha HUMAN ANATOMY anaweza kupasua manyama na kuyashona.

Unadunga limrija la kuongezea damu, unamtia ganzi unaanza kucharanga manyama ndani manyama nje.

Kiukweli hii ni rahisi sana. Ni vile tu mmejivika utukufu ili kuwahadaa wananchi waendelee kubugia madonge yenu yenye sumu.

Samaleko!
Ile kazi wee aacha tu, hivi ulishawahi kuingia chumba cha upasuaji wakati hilo zoezi linaendelea? Binafsi siwezi kufanya hiyo kazi hata kwa sh?
 
Ni umaskini tu,tukiondoa umaskini hakuna sababu nyengine yoyote itakayomfanya Mtanzania asitamani mwanae asome private schools.nasema hakuna.

Tujiulize tu,ni mzazi gani leo anataka mwanae shuleni akakae chini wakati huo huo shule zina upungufu wa vifaa masomo huku darasa lipo overloaded?tuache masikhara mtoto anaesoma private hata kuwaza anawaza tofauti na wa gov.
Ulisemalo ni kweli lkn shida ni kwamba hawa watoto wa private school wamekuwa kama kuku wa nyama na kuku wa kienyeji, ukiwaweka pamoja huko mbele uwezo wa kufikiri ni tofauti yaani kwa maana nyingine huyu ana div 1, na huyu ana div 3 hawa wote wakikutana A level su chuoni wa st kayumba mwenye div 3 anao uhakika wa kusonga mbele kukiko huyu wa div 1 wa private/english medium. Hizi shule wakati mwingine zinaharibu watoto.
 
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.

Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
Hiv haya mawazo unaongelea kuwaambia jamii ya kitanzania au unaiambia dunia mkuu. Ushawah kufanya tafiti hizo nchi zilizoendelea au Asians wao walifanyaje hilo eneo.
 
Ulisemalo ni kweli lkn shida ni kwamba hawa watoto wa private school wamekuwa kama kuku wa nyama na kuku wa kienyeji, ukiwaweka pamoja huko mbele uwezo wa kufikiri ni tofauti yaani kwa maana nyingine huyu ana div 1, na huyu ana div 3 hawa wote wakikutana A level su chuoni wa st kayumba mwenye div 3 anao uhakika wa kusonga mbele kukiko huyu wa div 1 wa private/english medium. Hizi shule wakati mwingine zinaharibu watoto.
Tell him
 
Unasema kweli niliwahi kuona jamaa ni darasa la 7, alianza akiwa anafyeka majani hospitalini baadae akawa nesi, akawa msaidizi wa daktari mpasuaji, mpaka anafanyiwa zengwe kwenye hiyo hospital naye alikuwa akipasua wagonjwa mbalimbali walioletwa hospital hiyo na wakakuta daktari mpasuaji hayupo, ameokoa maisha ya wengi sana.
🤣🤣🤣🤣
 
Hii ndio Point Mtoto wa Tajiri ambaye analipiwa Ada 10M


Anapofanikiwa sio kwa sababu amesome St Kansiime.

Ni kwa sanabu tayari mzazi wake ana potential kwa hiyo usijw ukajikakamua mambo usiyoyaweza.

Mzazi mwenye uwezo huo u can imagine kwamba Watoto wake hata wasiposoma wanakua juu tu.
100% correct
 
Ndo utuambie walipo ,nimesoma kayumba ila karibu 75% tulifanikiwa kufaulu kwenda high schools to universities+colleges na sasa tumesambaa nchi nzima wengine ni mainjinia ,madaktari ,MACO,Walimu na wahadhiri one of them UDSM but kati yetu wote kuna njemba inatuburuza kwa utajiri na ilipata div 4 point 26.Ana utajiri unaokadiriwa kufikia 2 bilions na bado hapoi hope by 45 atakuwa ana atleast 40+ bilions kwa mwendo anaokwenda nao , huyu naye ana exposure ipi? Je,wanae watalingana kimaisha na mfanyakazi wa UN ambaye analipwa 4millions per month ambaye akiondoka tu duniani UN wanaajiri mtu mwingine wanamsahau ghafla tu na familia yake inarudi kwenye msoto maana waliishi kwa kutegemea mshahara huo tu wakasoma hizo Feza Schools then wanabeba vyeti kusaka kazi mguu kwa mguu!? Mimi naamini ishu ya mafanikio ya mtu haijalishi kasoma Kayumba au wapi huko International schools sana watoto wanatengenezewa connections tu kutokana na kipato cha wazazi wao sio kwa kuwa they are better than Kayumba students kuihudumia jamii ndiyo maana hata hao wa shule hizo wengi wao hatuwaoni wakiwa tofauti na hawa waliosoma kayumba ukiwatenganisha wao na mitaji ya wazazi wao.

Mfano ishu ya Fernandez hiyo ni akili ya kibiashara tu alipokuja na ishu ya NALA fedha ya home ilimpush kutoka kufeli kidato cha nne hadi kufika Havard na kuwa successfull huko kuendelea lakini ikumbukwe business huenda ndicho kilikuwa kipaji chake tangu awali kwingine alikuwa anazunguka tu.Ndicho mtoa post anazungumzia kwamba besides kusoma huku au kule reflection ya elimu ya gharama inayolipiwa katika shule hizo haionekani katika maisha yetu kama taifa kwa namna tarajiwa.Mfano yupi ni mwl bora kati ya graduate wa kayumba na huyu wa hizo shule za multi millions ? Wapime kisha leta mrejesho.

Kuhusu huyo Adams ninawaza tofauti kidogo kwa mfano hai tu Diamond kasoma kayumba tu ila mafanikio yake tu kimziki anawazidi waliosoma kokote hata waliosomea muziki wenyewe iwe Harvad au kwingine (wa hapa kwetu).Diamond ana exposure kubwa kwa sababu ya talent yake tu not shule aliyosoma na ndiyo hapo tunaposema unapaswa kutazama vema elimu ya wanao inalenga nini zaidi maana maisha halisi yana mitaala kibao ambayo ukiizingatia tu utaisaidia jamii na kufanikiwa pakubwa wewe binafsi.
Simu yako ikifa hapa unamkimbilia std 7-Form 4 ndo akutengezee maana wengi wao wapo hapo kielimu na watakupiga bei wanayotaka na utakubali kisa shida yako maana huna elimu ya wanachofanya kuiponya simu yako japo una degrees za hizo international schools maana wao wana degrees kwenye angle nyingine ya maisha ambayo mtaala hauitambui rasmi.
Unafahamu kwamba screen ya simu yako ya Tsh milion 1 inauzwa Tsh 50000 tu ila fundi anakuhenyesha anakwambia kuiweka mpya na ufundi ni tsh 300000 na unatoa unampa kwa pongez kibao wakati ni kazi rahis tu!? Yaani yeye kutengeneza 1mil anaweza kuhitaji wateja watano tu kwa siku moja sema tu kutunza pesa ndo hawajui ila hawa wanathibitisha kuamini sana elimu ya kukariri darasani ni ujinga kimtindo na tuwaepushe watoto na elimu hii inapobidi tudeal na vitu vinavyoigusa jamii moja kwa moja.
100% correct
 
Kinachowafanya wasiwe kama wewe sio Shule ya 40M bali familia zao ziko vyema


Yaani hao hata wasiposoma wewe kajamba nani humfikii.

So tayari wana connections hata kabla ya hizo shule za Kishua.

Msichanganye vitu viwili hapo.
100% correct
 
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.

Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
Mkuu unatuchanganya maana unazungumzia vitu viwili kwa wakati moja Yani mtoto kusoma English medium na kusoma Udaktari, kwani hao ambao hawasomi English medium unafikiri hawasomei Udaktari?
 
Mkuu unatuchanganya maana unazungumzia vitu viwili kwa wakati moja Yani mtoto kusoma English medium na kusoma Udaktari, kwani hao ambao hawasomi English medium unafikiri hawasomei Udaktari?
Ndio maana nimesema hakuna umuhimu wowote wa kulipa mamilioni kwenye English Mediums kwa sababu mwisho wa siku wote wanaenda kusomea ujinga so mzazi huna sababu yoyote kujitoil kulipa mamilioni English Mediums
 
The true education has three qualities 👇

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.

Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
Hoja yako ingekuwa na mashiko na ila ulivyoanza kuzungumzia vitu ambavyo haviusiani na usivyovielewa umefanya ikawa uharo means hujui hata chochote kuhusiana na hoja hako
 
Yaani hawa madakitari wako wengi sana mambo mengi wanakopi toka ulaya ma asia madakitari wa tanzania hakuna wanachogundua hawawezi hata kutengeneza madrip ya kuongezea mgonjwa maji mwilini
Magufuri aliwashawishi weeee hakuna kitu akasema kaeni mini nitawapa fedha lakini wapi.
…..akisoma phd anataka akagombee ubunge kwa sababu ubunge una miokoto mingi
 
Yaani hawa madakitari wako wengi sana mambo mengi wanakopi toka ulaya ma asia madakitari wa tanzania hakuna wanachogundua hawawezi hata kutengeneza madrip ya kuongezea mgonjwa maji mwilini
Magufuri aliwashawishi weeee hakuna kitu akasema kaeni mini nitawapa fedha lakini wapi.
…..akisoma phd anataka akagombee ubunge kwa sababu ubunge una miokoto mingi
100% correct
 
Hoja yako ingekuwa na mashiko na ila ulivyoanza kuzungumzia vitu ambavyo haviusiani na usivyovielewa umefanya ikawa uharo means hujui hata chochote kuhusiana na hoja hako
Alie muelewa huyu mlevi naomba anieleweshe tafadhali
 
Back
Top Bottom