Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo kibao hakuna unachomzidi Abby chams mpaka sasa 😂😂😂🤣🤣Mimi nikifikiri ungesema akiwa na umri huo wa miaka 9 aliweza kugundua chombo kipya cha muziki kumbe ni kujua tu kutumia chombo cha muziki jambo ambalo ni la kawaida kabisa kwa mtu yoyote akifundishwa kufanya hivyo.
Mimi nilifikiri labda ungesema anzisha Shirika ambalo lina compete na Unicef
Kama kwako exposure ni kufanya show Dubai then u have got a very little and brainwashed understanding about the word exposure itself. Kama msomi ambae shule imekusaidia unapaswa kuja na maana mpya ya exposure. Unatakiwa wewe ndio ui define exposure na sio kufanya vitu ambavyo watu wanao kubrain wash wamekuaminisha kwamba ndio exposure.
If we go down to that level Diamond hajafika hata form four lakini ana " exposure" mara milioni kuliko Abby Chams.
Abby Chams anaweza kuwa na confidence kumzidi Giggy Money?
Abby Chams anaweza kuwa smart kujielezea kama Lulu wa Majizzo?
Abby Chams anaweza kuwa na " exposure" kuzidi Hamisa Mobetto?
Mtoto wa shule hizo ( EMs) kama atakuwa na confidence basi itakuwa ni manufactured confidence. Confidence huwaga ni suala la kuzaliwa.
Hata katika hili still I really doubt kama huyo Abby Chams ana confidence. It seems ur the only one who is aware of her confidence.
How ?
Before i forget to tell u that Tanzania hakuna msanii mkubwa, i need to remind u that , Huhitaji kumpeleka mtoto wako English Mediums ili aweze kufanya kolabo na wasanii " wakubwa" wa Tanzania.
Anyways if we go down to that level unaweza kututajia hitsongs hata 2 tu za Abby Chams?
# ukisikia mtoto wa kike bongo kafanya colabo na msanii " mkubwa" wa bongo basi jua amechapwa nao.
Unaposema Abby Chams kafanya kolabo na wasanii wote " wakubwa" wa Tz ur just telling me ameliwa na wasanii wote wakubwa wa bongo. Huoni ni upuuzi kwa mzazi kumlipia mtoto wako hasa wa kike, mamilioni kwenye English Medium? Unamlipia mamilioni halafu mwisho wa siku anaenda kuliwa kimasihara na wahuni.
Duh kumbe kupostiwa na Beyonce nayo ni achievement? Very interesting.
1. Mimi nilifikiri ungeniambia Abby Chams amegundua lugha yake mwenyewe.
2. Mimi nilifikiri ungeniambia Abby Chams amebuni herufi za lugha ya kiswahili ambazo ni tofauti na hizi tunazo tumia ambazo ni za kilatini.
3. Nilifikiri ungeniambia Abby Chams amegundua maneno ya ishara maalumu lets say kwa kuwahubiri watu wasio na uwezo wa kuongea na kusikia.. Hebu muulize Abby Chams, hivi ukitaka kumwambia bubu+kiziwi kwamba Yesu anakupenda utamwambiaje?
Mimi nilifikiri ungeniambia Abby Chams amegundua namna ya kuwasiliana na mtu ambae haoni, hasikii wala haongei, kumbe anajua kifaransa , kiingereza na kihispaniola? Nayo ni achievement? Brainwashed mentality at its highest level
Hii huhitaji kumpeleka mtoto wako English Mediums. Hata walioishia la saba wanafanya hii. Ni mzazi mpuuzi tu utampeleka mtoto wako kwenye shule za mamilioni ili after that awe anakata viuno jukwaani jambo ambalo angeweza kulifanya hata bila kumpeleka kwenye shule za mamilioni.
Huhitaji kusoma kwenye shule za mamilioni kuanzisha chuo kama hiki mkuu.
Hapo sasa ndo ume my expose dada ako. Why? Angekuwa na exposure angepaswa kufahamu kwamba ni msanii asie jitambua tu ( kutoka Africa) ndo anaweza kusaini Sony kwa sababu Sony wameharibu na wanaua ndoto za wasanii wengi wa Afrika.
Kuna valid and invalid exposure . Ur talking about invalid exposure which is void abinitio
Ndugu yangu kumbe ndio maana umeshindwa kuelewa hoja zangu. Hivi katika Karne hii kweli bado kuna watu wana zungumza kuhusu soko la ajira? Kweli?
Kwanini usiwaze serikali kutoa elimu yenye kuwapa wahitimu uwezo wa kutengeneza ajira?
Hizi ndizo elimu za kukariri ambazo tunazikataa.cancer sio ugonjwa mdgo ni Cellular Disease So its Untreatable hakuna Anayeweza kuutibu!
Huyo hapo hata ukimtibu mgonjwa wa kansa mbele yake na akapona kabisa bado hatokubali ataendelea kubaki na huo msimamo wa cancer haina dawa. Hao ndio madktari yani bora ufe anakuangalia hata kama kuna tiba mbadala ya ugonjwa wako anaijua kabisa inatibu.Hizi ndizo elimu za kukariri ambazo tunazikataa.
Msomi anatakiwa kutatua changamoto na sio kushabikia changamoto.
Wewe kama ni mwanasayansi wa ukweli, muda huu ulitakiwa uwe unatueleza juhudi zako za kuponya kansa na sio kutuambia kansa haina dawa.
Wewe unashabikia changamoto, hautatui changamoto.
You are only parroting what you have bee taught. Nothing more.
Hii ni huzuni sana.
So u want me to go down to that level? Tell me ur joking please.Porojo kibao hakuna unachomzidi Abby chams mpaka sasa 😂😂😂🤣🤣
Na wewe hata hujaelewa.
Kumbe ni mpaka ugundue ndo unaonekana smart? Kwahyo kipimo ni kugundua?
Wapi huko?Kwanini hajaitwa gigy money kutoka afrika kaondoka Abby kuwakilisha?
Umefanya utafiti wako wapi kuja na hii conclusion? Or otherwise taja majina ya hao vijana so that we know that ur not talking about ghosts.Talk with Abby chams kimesaidia vijana wengi kuwa self awareness na kutatua changamoto
Hata Manyaunyau ana timu kubwa sana nyuma yake kwa ajili ya uganga na ulozi anao ufanya mkuuAna team nyuma yake kwa ajili ya mziki anaofanya.
Nitajie hit songs 3 za Abby Chams pleaseSpotfy walimtaja kama MSanii mdogo zaidi anayetrend Apple store sababu Abby mziki wake unapendwa mpaka nje.
Mkuu Mimi siwezi kukodiwa na mtu yoyote mkuu. I cant go that down.Tuambie wewe tunakujua kwa lipi la kusimama na Abby chams?
Vyombo vingapi vya muziki unavyojua kupiga ukakodiwa vikakupa pesa.
Wewe unaweza kusimama na Abby kuongea kifaransa ok hio ujui zaidi ya kizaramo, kingereza je?🤣🤣
Embu acha upumbavu, pambana upeleke watoto shule nzur matokeo ya diplomasia uliyaona?😂😂
Nitafutie shule ya private ina matokeo kama yale yalete hapa.
Yani nimuonee wivu mtu What is wivu?wivu tu utakuna mbupu mpaka ziishe
NakaziaHizi ndizo elimu za kukariri ambazo tunazikataa.
Msomi anatakiwa kutatua changamoto na sio kushabikia changamoto.
Wewe kama ni mwanasayansi wa ukweli, muda huu ulitakiwa uwe unatueleza juhudi zako za kuponya kansa na sio kutuambia kansa haina dawa.
Wewe unashabikia changamoto, hautatui changamoto.
You are only parroting what you have bee taught. Nothing more.
Hii ni huzuni sana.
Binafsi bado sija shawishika kwa sababu bado sijaona ambacho waliyosoma shule za serikali wanashindwa kufanya kutokana na ubora wa elimu.Khalid Bakhresa- Azam ice cream
Gwamaka kifukwe
Sho madjozi
Mohamed dewji
Usman ally
Walter kitundu
Saurabin ketrapal
Benjamin fernandes CEO NALA Kasoma HOPAC, havard na stanford.
Magdalena muogeleaji olympic
Huko kwenye mashirika ya UNICEF, UNESCO, na mengine ndio wapo kibao.
Pointi ni serikali iangalie namna ya kuboresha elimu tuendane na kasi na kuweza kushidana katika soko la ajira la dunia.
Huwezi kubattle na mtoto aliyetoka Feza int huwezi hata kidogo sababu wana exposure kubwa.
Wapo wengi sana
Hahaha. Elimu za kusomea ujinga ni hatari kuliko ujinga wenyewe.Huyo hapo hata ukimtibu mgonjwa wa kansa mbele yake na akapona kabisa bado hatokubali ataendelea kubaki na huo msimamo wa cancer haina dawa. Hao ndio madktari yani bora ufe anakuangalia hata kama kuna tiba mbadala ya ugonjwa wako anaijua kabisa inatibu.
Nilikuwa sijui kama wewe mpumbavu hivi.So u want me to do down to that level? Tell me ur joking please.
Kumbe kwako elimu ni kukariri sio?
Wapi huko?
Umefanya utafiti wako wapi kuja na hii conclusion? Or otherwise taja majina ya hao vijana so that we know that ur not talking about ghosts.
Hata Manyaunyau ana timu kubwa sana nyuma yake kwa ajili ya uganga na ulozi anao ufanya mkuu
Nitajie hit songs 3 za Abby Chams please
Mkuu Mimi siwezi kukodiwa na mtu yoyote mkuu. I cant go that down.
I don't know anything that me and her can talk about. I know that which she knows not.
Baba ako hajawahi kukufundisha kwamba kufeli shule ya darasani sio kufeli maisha ?
Nyie ndio mnao jiua mkidisco chuo.
Anyways kama unadhani mtu alie feli hapo Diplomasia kwamba ndio mwisho wa maisha yake, halafu na wewe unajiita msomi basi there is no hope to your future.
Hayo matokeo mazuri ya shule za Private yanawasaidia nini wahitimu?
Yani nimuonee wivu mtu What is wivu?
Leta sasa watu ambao kwenye soko la ajira za kimataifa wapo wengi wanaotoka shule za kata?Binafsi bado sija shawishika kwa sababu bado sijaona ambacho waliyosoma shule za serikali wanashindwa kufanya kutomana na ubora wa elimu.
Najua eitherNilikuwa sijui kama wewe mpumbavu hivi.
Hapa unataka nikujibu kitu gani? Are u sure ur not sick in ur mind?sasa tuambie wewe ulichofanya mpaka sasa unakaribia kuzeeka
Wewe.Nani kakuambia ukifeli shule ndo maisha?
Ku -compete kimataifa about what? Ulivyo kilaza utasema kwenye soko la ajira. Ur a very slow guy. Slow people are very boring.utofauti ni kwamba elimu ya wenzetu wana compete kimataifa wewe unaweza?
Wapi Nimetoka kwenye mada? Nisije kuwa napoteza muda wangu ku argue na kilazaUsitoke kwenye mada,
Sielewi nini?wewe huelewi mkuu.
Mimi nilifikiri ungesema yeye ndjo ana miliki spotify kumbe ametajwa? Nilisha kuelekeza kwenye post yako ya awali kabisa acha kuja na hoja za kitoto kama hizi unapokuwa unaongea na watu wazima.Abby chams ametajwa equal programme ya Spotfy,
Hata wewe ukitaka kutokea kwenye billboard ya NY Square inawezekana. Ni hela yako tu.Abby katokea billboard ny square,
Mimi nilifikiri ungesema ameanzisha Shirika lenye hadhi ya UNICEF kumbe muwakilishi kutoka Tanzania?Abby muwakilishi UNICEF toka Tanzania
Inaitwaje hiyo nyimbo?Nyimbo yake na Mario ni hit ikiwa imesikilizwa 5M+ boomplay,
Are u sure u want me to answer you this? Wewe ni me au ke? Kama ni me basi wenzako watakuwa wana kugonga.Embu tuambie wewe unaesema Abby anakatika tu ajafanya kitu, ndio utuambie wewe umefanya na unaelekea uzeeni.
Tupe website ya hiyo shule tupeleke vijana wetu wakajifunze kukata man No.Watoto wangapi na vijana anawafundisha katika shule yake ABBY School music?
Mention their names so that we be sure that ur not talking about ghostsAnagusa vijana wengi,
Like u? Kama wewe ndio aina ya vijana ambao Abby and wa inspire basi tatizo ni eidha lipo kwa Abby mwenyewe au lipo kwako.ana inspire vijana wengi .
Alieuliza swali kama hili kama sio mdada basi vijana wenzake watakuwa wana mgonga.Tuambie wewe sasa umefanya nn mpaka sasa kwamba taifa litasema daah huyu mtu tutamkumbuka
Acha kiandika kwa kuchanganya lugha. Kiingereza unachokichanganya kwenye maandishi yako humu ni kibovu mno. Umesoma medium school ya wapi bwana Chams!Porojo kibao hakuna unachomzidi Abby chams mpaka sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Na wewe hata hujaelewa.
Kumbe ni mpaka ugundue ndo unaonekana smart? Kwahyo kipimo ni kugundua?
Kwanini hajaitwa gigy money kutoka afrika kaondoka Abby kuwakilisha?
Talk with Abby chams kimesaidia vijana wengi kuwa self awareness na kutatua changamoto
Ana team nyuma yake kwa ajili ya mziki anaofanya.
Spotfy walimtaja kama MSanii mdogo zaidi anayetrend.
Apple store sababu Abby mziki wake unapendwa mpaka nje.
Tuambie wewe tunakujua kwa lipi la kusimama na Abby chams?
Vyombo vingapi vya muziki unavyojua kupiga ukakodiwa vikakupa pesa.
Wewe unaweza kusimama na Abby kuongea kifaransa ok hio ujui zaidi ya kizaramo, kingereza je?[emoji1787][emoji1787]
Embu acha upumbavu, pambana upeleke watoto shule nzur matokeo ya diplomasia uliyaona?[emoji23][emoji23]
Nitafutie shule ya private ina matokeo kama yale yalete hapa.
wivu tu utakuna mbupu mpaka ziishe
Una matatizo unahitaji tiba ya harakaThe true education has three qualities 👇
1. It helps you to acquire power.
2. It helps you to maintain power.
3. It helps you to protect the acquired power.
Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.
Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.
Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia
" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.
Sasa huyu ameelimika au amekariri?
Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?
Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?
Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.
Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.
Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.
Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.
Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.
NakaziaEscape the matrix
Hata mimi nafikiri utakua unagongwa na wanaume wenzako.Najua either
1. Hujui maana ya neno mpumbavu au
2. Wewe ndio mpumbavu, au
3. Unafikiri wewe ndio una haki miliki ya kutumia maneno ya hovyo.
Sijui shule ulienda kusomea nini kama hauwezi kujadiliana bila kutoa maneno ya hovyo. Anyways ukiendelea kutumia maneno ya hovyo kama haya nita kuignore. Cause i am not comfortable with what ur thoughts are.
Hapa unataka nikujibu kitu gani? Are u sure ur not sick in ur mind?
Wewe.
Rejea kauli yako kuhusu wanafunzi walio feli pale Diplomasia. Mimi ambae sijakaririshwa darasani sioni tatizo lolote. Ila wewe ambae umekaririshwa ndio unaona tatizo .
Ku -compete kimataifa about what? Ulivyo kilaza utasema kwenye soko la ajira. Ur a very slow guy. Slow people are very boring.
Wewe unakwenda shule kwa ajili ya ku- compete? Are u out of ur mind?
Wapi Nimetoka kwenye mada? Nisije kuwa napoteza muda wangu ku argue na kilaza
Sielewi nini?
Mimi nilifikiri ungesema yeye ndjo ana miliki spotify kumbe ametajwa? Nilisha kuelekeza kwenye post yako ya awali kabisa acha kuja na hoja za kitoto kama hizi unapokuwa unaongea na watu wazima.
Hata wewe ukitaka kutokea kwenye billboard ya NY Square inawezekana. Ni hela yako tu.
Mimi nilifikiri ungesema ameanzisha Shirika lenye hadhi ya UNICEF kumbe muwakilishi kutoka Tanzania?
Huna hata hoja wewe dogo point zako ni zile zile: poor infrastructure, poor leadership , poor social services etc.
ur very slow
Inaitwaje hiyo nyimbo?
Are u sure u want me to answer you this? Wewe ni me au ke? Kama ni me basi wenzako watakuwa wana kugonga.
Tupe website ya hiyo shule tupeleke vijana wetu wakajifunze kukata man No.
Mention their names so that we be sure that ur not talking about ghosts
Like u? Kama wewe ndio aina ya vijana ambao Abby and wa inspire basi tatizo ni eidha lipo kwa Abby mwenyewe au lipo kwako.
Ur very slow. Unaonekana upo so easy to be manipulated. Walahi mtu akianzisha kanisa akapata watu slow kama wewe atatajirika
Alieuliza swali kama hili kama sio mdada basi vijana wenzake watakuwa wana mgonga.
Unategemea nikujibu nini hapa?
Natukanizia
Sijasoma huko mkuu.Acha kiandika kwa kuchanganya lugha. Kiingereza unachokichanganya kwenye maandishi yako humu ni kibovu mno. Umesoma medium school ya wapi bwana Chams!