Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

Ndo utuambie walipo ,nimesoma kayumba ila karibu 75% tulifanikiwa kufaulu kwenda high schools to universities+colleges na sasa tumesambaa nchi nzima wengine ni mainjinia ,madaktari ,MACO,Walimu na wahadhiri one of them UDSM but kati yetu wote kuna njemba inatuburuza kwa utajiri na ilipata div 4 point 26.Ana utajiri unaokadiriwa kufikia 2 bilions na bado hapoi hope by 45 atakuwa ana atleast 40+ bilions kwa mwendo anaokwenda nao , huyu naye ana exposure ipi? Je,wanae watalingana kimaisha na mfanyakazi wa UN ambaye analipwa 4millions per month ambaye akiondoka tu duniani UN wanaajiri mtu mwingine wanamsahau ghafla tu na familia yake inarudi kwenye msoto maana waliishi kwa kutegemea mshahara huo tu wakasoma hizo Feza Schools then wanabeba vyeti kusaka kazi mguu kwa mguu!? Mimi naamini ishu ya mafanikio ya mtu haijalishi kasoma Kayumba au wapi huko International schools sana watoto wanatengenezewa connections tu kutokana na kipato cha wazazi wao sio kwa kuwa they are better than Kayumba students kuihudumia jamii ndiyo maana hata hao wa shule hizo wengi wao hatuwaoni wakiwa tofauti na hawa waliosoma kayumba ukiwatenganisha wao na mitaji ya wazazi wao.

Mfano ishu ya Fernandez hiyo ni akili ya kibiashara tu alipokuja na ishu ya NALA fedha ya home ilimpush kutoka kufeli kidato cha nne hadi kufika Havard na kuwa successfull huko kuendelea lakini ikumbukwe business huenda ndicho kilikuwa kipaji chake tangu awali kwingine alikuwa anazunguka tu.Ndicho mtoa post anazungumzia kwamba besides kusoma huku au kule reflection ya elimu ya gharama inayolipiwa katika shule hizo haionekani katika maisha yetu kama taifa kwa namna tarajiwa.Mfano yupi ni mwl bora kati ya graduate wa kayumba na huyu wa hizo shule za multi millions ? Wapime kisha leta mrejesho.

Kuhusu huyo Adams ninawaza tofauti kidogo kwa mfano hai tu Diamond kasoma kayumba tu ila mafanikio yake tu kimziki anawazidi waliosoma kokote hata waliosomea muziki wenyewe iwe Harvad au kwingine (wa hapa kwetu).Diamond ana exposure kubwa kwa sababu ya talent yake tu not shule aliyosoma na ndiyo hapo tunaposema unapaswa kutazama vema elimu ya wanao inalenga nini zaidi maana maisha halisi yana mitaala kibao ambayo ukiizingatia tu utaisaidia jamii na kufanikiwa pakubwa wewe binafsi.
Simu yako ikifa hapa unamkimbilia std 7-Form 4 ndo akutengezee maana wengi wao wapo hapo kielimu na watakupiga bei wanayotaka na utakubali kisa shida yako maana huna elimu ya wanachofanya kuiponya simu yako japo una degrees za hizo international schools maana wao wana degrees kwenye angle nyingine ya maisha ambayo mtaala hauitambui rasmi.
Unafahamu kwamba screen ya simu yako ya Tsh milion 1 inauzwa Tsh 50000 tu ila fundi anakuhenyesha anakwambia kuiweka mpya na ufundi ni tsh 300000 na unatoa unampa kwa pongez kibao wakati ni kazi rahis tu!? Yaani yeye kutengeneza 1mil anaweza kuhitaji wateja watano tu kwa siku moja sema tu kutunza pesa ndo hawajui ila hawa wanathibitisha kuamini sana elimu ya kukariri darasani ni ujinga kimtindo na tuwaepushe watoto na elimu hii inapobidi tudeal na vitu vinavyoigusa jamii moja kwa moja.
Umeandika vitu vingi off topic.
Utofauti wa elimu ya kata na international.
Wametuzidi gape kwenye masoko ya ajira duniani .
Au ulikuwa huelewi kinachoongelewa?
 
Nesi mwenyewe usikute ana DIPLOMA tu, tena ya kugegedwa na lecturer.

Halafu ati ndio akuponye kansa!! Thubutuuuuuu!!!

Yeye anafuata maelekezo ya wizara tu hana alijualo.
Na mgonjwa wala hakuwa na kansa, walikuwa wanatuzungusha tu hicho kipimo hawakutaka kufanya ni issue ya kimasilahi zaidi gharama za kipimo zilipunguzwa maana tulitokea hospitali ya Amana. Sasa yule nesi katuvuta pembeni et ndio anatushwishi twende clinic et inaweza kuwa kansa, tukaondoka sijarudi tena.
 
Kinachowafanya wasiwe kama wewe sio Shule ya 40M bali familia zao ziko vyema


Yaani hao hata wasiposoma wewe kajamba nani humfikii.

So tayari wana connections hata kabla ya hizo shule za Kishua.

Msichanganye vitu viwili hapo.
Aliuliza watakuwa wapi namjibu kama kasoma 40M+ unafikiri atakuwa anahangaika kama sisi
 
Kinachowafanya wasiwe kama wewe sio Shule ya 40M bali familia zao ziko vyema


Yaani hao hata wasiposoma wewe kajamba nani humfikii.

So tayari wana connections hata kabla ya hizo shule za Kishua.

Msichanganye vitu viwili hapo.
Jamaa anataja mafanikio ya watu waliyotoka familia zenye uwezo wa kifedha.
 
Mzungu haamini kama mweusi anasoma, ndio maana ukifika majuu na shahada zako wanakurudisha darasani kupigwa msasa usilishe matango watoto wao.

Na ukifuzu hata uwe profesa, utakuwa chini ua watu. Profesa aliyesoma bongo, kule ni tutor tu
Kwa kweli sijakuelewa.
Labda ungenipa mfano wa hcho unachoongea?
 
Nimesoma hoja zenu wote. Lakini kwa ufupi mtafute hela.
Hakika !
Ila hatuwezi kumlazimisha , sababu kubwa ni UMASKINI. hayupo mtu mwenye pesa anapeleka mtoto wake shule za serikali. Binafsi nilishasema mwanangu ataendelea kusoma kwa gharama yoyote as long as bado Nipo na nguvu.
 
Mimi la kwanza mpaka la Saba ni English medium form one na kuendelea ndo shule za serekali iyo imekaaje
 
Unasema kweli niliwahi kuona jamaa ni darasa la 7, alianza akiwa anafyeka majani hospitalini baadae akawa nesi, akawa msaidizi wa daktari mpasuaji, mpaka anafanyiwa zengwe kwenye hiyo hospital naye alikuwa akipasua wagonjwa mbalimbali walioletwa hospital hiyo na wakakuta daktari mpasuaji hayupo, ameokoa maisha ya wengi sana.
😂😂😂😂
 
Unawezekana kutibika mkuu mbona dr.seb in documental inasemekana alikuwa anatibu sana hzo ma vitu sema shida tunajifunga atutaki kujifungua yan tunamaslai atutaki kutatua tatzo likaisha unajua n kwann evry thing n bussnes kwa sasa tena upande wa afya.....n ubimbav kabsa uku

Mf. UTI za sasa na antibiotic zilizotengenezwa kwa ajili ya kuutibu uo ugojwa hizo dawa zmekaa ki biashara sio kuona unabwia vdonge badala ya kupona ndo uila ukienda kupima mdudu yupo matokeo yake anakomaa asikii dawa..

Sasa kwa badae unataka nambia UTI zita poneka au zitakuwa ni ugonjwa sugu usio na tiba wakat miaka tu ya 90 hv magnjwa kama ayo watu waliponea home nowdayz et usinywe mitishamba unaharibu ini (mrisho mpoto voice) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aya maisha bana bora wasabato wamerud eden kutafuta mti wa uzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ihiiiiii ahaaaa (jpm voice)
Mkuu thats Conspiracy theory kuhusu Dr sebby!
Kama unaweza kuprove sebby Alitibu Unavyosema lets deals with real peaple statistics Study..
Nipe Idadi ya Watu waliotibiwa Na Dr sebby kwa maradhi ya Kansa na kama ukiweza Report zao kabla ya kutibiwa na baada ya kutibiwa..
Hizo ni Theory zinazotengenezwa Mkuu!


Kuhusu UTI:
Kuhusu UTI (Uninary Tract infection) its challenging situation sana..
Nafurhi kusikia kuwa Unajua zamani ilikuwa vyepesi kutibu UTI kuliko siku hizi!

Unajua kwanini?

Zamani Mfumo wa Mkojo (Urinary Tract) ulikuwa unashambuliwa Sana na Mdudu aitwaje E.Coli (Escherichia Coli) "Huyu ni mdudu/Bacteria anayepatikana sana kwenye Choo na Mfumo mzima wa Almentary Canal"

Kwahyo waliokuwa wanapata UTI asilimia kubwa ni wanawke kutokana na mazingira ya kujisafisha n.k.

Hivyo hata dawa za UTI ilikuwa simple sana Kuzitoa na mtu akapona pamoja na Ushauri Wa usafi..

Siku hizi imekuwa Tofauti kwa Sababu studies na culture Nyingi zinaonyesha Wadudu wanaoshambulia Mfumo wa Mkojo kwa Asilimia kubwa Sio E.coli Tena (Japo E.coli ni Kwa watoto wadogo wanaoanza kubalehe na mwisho miaka 15)
Sasa hivi Asilimia Kubwa ya Wadudu wanao sababisha UTI ni wale wanao sababisha magonjwa ya Zinaa so siku hizi Kutibu ni UTI sugu iliyosababishwa na Zinaa sugu..

na kwa bahati mbaya inasambaa kwa kasi sana na Vimelea Sugu pia vinasambaa na Resistance ya Dawa inakuwa kubwa na ndo maana Siku hizi kuna High rate ya Drugs Failure kwa matibabu ya UTI kwa sababu ya Usugu wa Magonjwa ya Zinaa ambayo tunayafuga na tunayapa jina Jingine La UTI ..
Kama una swali nakukaribisha
Asante!
 
Unakuta anaona noma kwa madaktari wenzie akisema (mfano) kansa ina dawa ataonekana kama kawa mshamba, ndio walivyo hao jamaa wamefundishwa kuwaza kwa mtazamo mmoja tu.
Hebu nipe Dawa ya Kansa mkuu na mimi niwe Mgunduzi wa kwanza wa Dawa ya kansa kutoka Tanzania 🤣🤣..

Ungejua How Cancer inavyotokea na kushambulia I think hata ungefuta hii comment
 
Unasema kweli niliwahi kuona jamaa ni darasa la 7, alianza akiwa anafyeka majani hospitalini baadae akawa nesi, akawa msaidizi wa daktari mpasuaji, mpaka anafanyiwa zengwe kwenye hiyo hospital naye alikuwa akipasua wagonjwa mbalimbali walioletwa hospital hiyo na wakakuta daktari mpasuaji hayupo, ameokoa maisha ya wengi sana.
Mkuu uko sawa Kabisa anaweza akaajiriwa kama Darasa la saba mkata Majani kama unavyosema..
je una uhakika kama hakujiendeleza?
Unajua Elimu yake kwa Sasa?

Wapo Watu Tunawaona Wana ajiriwa kazini kama MA (Medical Attendant) [Wahudumu wa Afya]..

Baadaye Wanarekebisha Vyeti vyao kwa kusoma Au kurudia mtihani na kupata matokeo yanayo wawezesha wao kusoma Nursing au Utabibu..
Na wanapomaliza pia Wanajiongeza na Kusoma zaidi na zaidi..

Sasa hivi wengine wapo ni Madaktari Bingwa wabobezi na walianza kama wahudumu wa Afya au wafyeka Nyasi kama Unavyosema..

Kumjua mtu zamani Haimaanishi yuko Hivyo miaka yote..
Shukrani Mkuu
 
Wanapewa cadaver (Google that). Hawawezi kupewa mwili wa ajali(tena ajali ya bodaboda), wanapewa mwili uliokamilika ili waweze kuusoma vizuri
Na hiyo kumbuka ni Mwaka wa Kwanza kabisa 😆😆..Bado hata hajaanza Junior Rotation
 
Mzungu haamini kama mweusi anasoma, ndio maana ukifika majuu na shahada zako wanakurudisha darasani kupigwa msasa usilishe matango watoto wao.

Na ukifuzu hata uwe profesa, utakuwa chini ua watu. Profesa aliyesoma bongo, kule ni tutor tu
Uongo mtupu Watu tumeenda huko kwa Wazungu na tunaheshimika Vile vile Nimesoma Resident Ya Paediatric, Kwa wazungu Mkuu so Acha kusikiliza story za Vijiweni!
 
Sitasahau yule nesi tu pale muhimbili anatushauri tukamuanzishe mgonjwa wetu Clinic ya kansa kwa dalili alizoona tu yeye kuwa inaweza kuwa ni kansa na wakati bado mgonjwa hajaonana na daktari na kufanyiwa kipimo ambacho ndio ingejulikana shida ni nini, alitupa hadi yake ya simu tukitaka kwenda tumpigie kwanza yeye.
Kansa haipimwi kwa dalili inathibitishwa kwa Vipimo..

Usichukue kosa la mtu mmoja ukaona ni kosa la wote
 
The true education has three qualities [emoji116]

1. It helps you to acquire power.

2. It helps you to maintain power.

3. It helps you to protect the acquired power.

Kinyume na hapo ni utoto utoto tu kama utoto utoto mwingine.

Kwa bahati mbaya sana maarifa yenye uwezo wa kumpa mtu qualities tajwa hapo juu yamehodhiwa na wajanja wachache ambao ndio wanaitawala dunia.

Unamsomesha mtoto English Mediums kwa mamilioni anafika chuo anasomea udaktari halafu anakuja kukwambia

" Presha haina dawa"
" Kisukari hakina dawa"
" kansa haina dawa" etc.

Sasa huyu ameelimika au amekariri?

Kuna kitu gani kinacho elezea dhana ya "kusomea ujinga" kwa uzuri zaidi kama daktari specialist kusema presha haina dawa?

Unapoteza miaka mitano darasani ili uje utuambie presha haina dawa?

Elimu mnayo pewa haina qualities za kusolve matatizo yenu kwa hiyo ni sawa na ujinga tu.

Don't waste ur millions to pay for your kids in English Mediums.

Hiyo pesa wekeza kwenye maendeleo na kwa habari ya Elimu wekeza kwenye maarifa yatakayo mpa uwezo wa kusolve matatizo halisi katika jamii inayo mzunguka.

Utapata mafanikio kwa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo katika jamii yako.

Mfano hii ipo karibu katika kila kada kuanzia walimu, wanasheria etc.

Unaumia na hela za watu[emoji28][emoji28] wewe somesha watoto wa Kayumba. Acha sisi tuendelee kuwasomesha ENGLISH MEDIUM za bei ghali.

Ikiwa unaona elimu ni ghali, jaribu ujinga
 
Back
Top Bottom