Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

Hii ajali ukiangalia kwa upana na marefu yake. Ni ajali ya kukosa uwajibikaji. Yani tumerudi kule tumetoka. Jiulize angekuwa hai Mzee Magu.... End
Magu angefanya nini sasa ajali imeshatokea? Tuache siasa za kukatwa vichwa, maana hata yeye anahusika kwenye huu udhaifu. Alipokuwa hai alifanya nini kuboresha jeshi la ulozi?
 
Ufanisi katika nchi hizi utafikiwa siku siasa itatenganishwa na taaluma. Mv bukoba ilitobolewa kwa maagizo ya wanasiasa, ambao hata hawakujua kwa nini ilikuwa inaelea badala ya kuzama.
 
Oh! Umenikumbusha kuibiwa kwa documents za mtaalamu wa Scotland yard kabla hajakabidhi uchunguzi wa moto ulioteketeza watoto Shauritanga!
 
...Na Ajali Ile ya Meli pale Mwanza Miaka Michache nyuma inaelekea haikufundisha lolote licha ya Matamshi Kadhaa ya Kisiasa yalitolewa wakati ule!!
Mwanasiasa kujifunza hana huo muda, yeye anawaza uchaguzi tu na familia yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…