Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Ajali iliyoua watu wengi zaidi kwenye historia ya usafiri wa anga ilitokea Hispania tena ndege zilivaana palepale airport.
Yaani wazungu waliojaliwa akili na ufahamu wa kila aina wakashuhudia wenzao 583 wakiteketea kuwa majivu pasi msaada wa kueleweka.
Ingekuwa Africa mngeilaani sana hii ngozi nyeusi.
Yaani wazungu waliojaliwa akili na ufahamu wa kila aina wakashuhudia wenzao 583 wakiteketea kuwa majivu pasi msaada wa kueleweka.
Ingekuwa Africa mngeilaani sana hii ngozi nyeusi.