Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

Ajali iliyoua watu wengi zaidi kwenye historia ya usafiri wa anga ilitokea Hispania tena ndege zilivaana palepale airport.

Yaani wazungu waliojaliwa akili na ufahamu wa kila aina wakashuhudia wenzao 583 wakiteketea kuwa majivu pasi msaada wa kueleweka.

Ingekuwa Africa mngeilaani sana hii ngozi nyeusi.
 
Hiyo ingetokea bongo idadi ingekuwa kubwa zaidi
 
Kwa kawaida halmashauri huwa hazipati pesa zote zinazosemwa watapewa
 
Ukitaka maelezo zaidi kuhusu jeshi la uokozi na majanga nakuomba ukaribie kwenye sherehe za uhuru 9 December tutakuelekeza namna tunaweza kuokoa
 
Kwa kawaida halmashauri huwa hazipati pesa zote zinazosemwa watapewa
Kwa hio hizo pesa km maafa hayajatokea zinakwenda wapi? Ni pesa mingi au km kawaida wahuni wanazikung'uta bila uoga na hawaulizwi chochote?
 
Ukitaka maelezo zaidi kuhusu jeshi la uokozi na majanga nakuomba ukaribie kwenye sherehe za uhuru 9 December tutakuelekeza namna tunaweza kuokoa
Kwenye show off ya uwanja wa Mkapa pale Lupaso au sio mkuu?
 
Uwezo wangu mdogo wa kuelewa nafikiri sababu ya uafrika wangu, sijakuelewa
 
Hii ajali ukiangalia kwa upana na marefu yake. Ni ajali ya kukosa uwajibikaji. Yani tumerudi kule tumetoka. Jiulize angekuwa hai Mzee Magu.... End

Ile ajali ya ukerewe alikuwepo na watz walikufa kwa mamia.

Itoshe kusema ccm inacheza na maisha ya Watz. Full [emoji1630]
 
Ile ajali ya ukerewe alikuwepo na watz walikufa kwa mamia.

Itoshe kusema ccm inacheza na maisha ya Watz. Full [emoji1630]
Kuna watu wanataka kutuaminisha Magu alikuwa Mungu mdogo. Yani wanatuambia hata hii hali ya ukame angekuwepo Magu mvua zingenyesha....
 
Acha kutetea ujinga wewe,
Kwa hiyo wale wavuvi walioacha shuguli zao za kujiingizia kipato wakaenda na vyombo vyao kuokoa uhai wa raia wenzao lilikuwa jukumu lao ?
Ivi unajau thamani ya uhai wa raia mmoja ?
Jeshi lolote makini linaguswa zaidi (very sensitive) na maslahi au majanga ya raia sio maslahi ya watawala
 
Ni huzuni
 

Sijui kwa nini miaka a karibuni JF imejawa na watu wanaopenda kuquote, huku wakikosoa kwa mbwembwe bila kufuatilia kwanza unayemquote alikuwa anatolea ufafanuzi jambo gani...
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Naomba kufahamishwa kazi ya wanajeshi wetu wa Navy tafadhali.
What are you talking bout??The only Navy I know we have in Tz is this one.
 

Attachments

  • images-26.jpeg
    29.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…