Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

Habari

Mimi nitazungumzia vitu vichache tu kati ya vingi vilivyojitokeza jana ambavyo vinaonyesha ufinyu wa akili wa viongozi wetu ambao ndio wanawakilisha uhalisia wa wananchi.

1. Ziwa Victoria pamoja na ukubwa wake na umuhimu wake kiuchumi serikali haijaweka boti angalau 4 za dharura kwaajili ya kufanya uokoaji na dharura.

2. Kuajiri kwa uchache Askari na maafisa wa jeshi la zimamoto na uokoaji pamoja na kuwapa vitendea kazi vichache . Jeshi la zimamoto na uokoaji lina watumishi wachache sana na vitendea kazi pia vichache. Hakuna KITUO CHA jeshi la zimamoto na uokoaji kando ya ziwa ili kudeal na dharura za ziwani.

3. Viongozi haraka wamekimbilia kutoa majibu ya sababu ya ajali ile ndani ya masaa machache ili kulinda ugali wao. Ni wazi Mwafrika kakosa utu na ni mbinafsi asiyekubali kuachia nafasi.

Maelfu wanavushwa na vivuko hapa Tanzania kila siku huku pembeni kuna kiboti kidogo cha uokoaji kinachoweza kuokoa watu 10-20 huku kivuko kina maelfu ya abiria. Hili nalo muende mkalitizame. Na ajabu zaidi kiboti hicho kidogo cha uokoaji kimepark pembeni hakina hata habari.
Naunga mkono hoja, bora tungetawaliwa milele na viboko juu
 
...Na Ajali Ile ya Meli pale Mwanza Miaka Michache nyuma inaelekea haikutundisha lolote licha ya Matamshi Kadhaa ya Kisiasa yalitolewa wakati ule!!
Na ile mv bk haikuwa fundisho tu? Unaweza kuta Budget inawekwa kwaajili ya majanga ya dharura kama haya ila inaishia kupigwa na wajanja kujaza matumbo yao tu
 
Hii ajali ukiangalia kwa upana na marefu yake. Ni ajali ya kukosa uwajibikaji. Yani tumerudi kule tumetoka. Jiulize angekuwa hai Mzee Magu.... End
TUMIA AKILI.

Kumbuka ajali ya kivuko UMV NYERERE UKARA.zaidi ya watu 300 wamekufa POMBE AKIWA MAGOGONI.

Rejea tetemeko la KAGERA.

Lucky Vincent nk.

POMBE NDIO ALIKUWA POMBE KWELI.
UHARO.
 
Habari

Mimi nitazungumzia vitu vichache tu kati ya vingi vilivyojitokeza jana ambavyo vinaonyesha ufinyu wa akili wa viongozi wetu ambao ndio wanawakilisha uhalisia wa wananchi.

1. Ziwa Victoria pamoja na ukubwa wake na umuhimu wake kiuchumi serikali haijaweka boti angalau 4 za dharura kwaajili ya kufanya uokoaji na dharura.

2. Kuajiri kwa uchache Askari na maafisa wa jeshi la zimamoto na uokoaji pamoja na kuwapa vitendea kazi vichache . Jeshi la zimamoto na uokoaji lina watumishi wachache sana na vitendea kazi pia vichache. Hakuna KITUO CHA jeshi la zimamoto na uokoaji kando ya ziwa ili kudeal na dharura za ziwani.

3. Viongozi haraka wamekimbilia kutoa majibu ya sababu ya ajali ile ndani ya masaa machache ili kulinda ugali wao. Ni wazi Mwafrika kakosa utu na ni mbinafsi asiyekubali kuachia nafasi.

Maelfu wanavushwa na vivuko hapa Tanzania kila siku huku pembeni kuna kiboti kidogo cha uokoaji kinachoweza kuokoa watu 10-20 huku kivuko kina maelfu ya abiria. Hili nalo muende mkalitizame. Na ajabu zaidi kiboti hicho kidogo cha uokoaji kimepark pembeni hakina hata habari.
Kama ni suala la utu basi wavuvi na wananchi wa kawaida wamewapita mbali viongozi, Kuna watu walikuwa wamevalia nguo za jeshi walikuwa wanapiga picha wakati raia wakiendelea kuvuta ndege kwa kamba, Inaonekana akili ndogo inatawala akili kubwa
 
Labda wewe na familia yako ndio mmenyimwa akili kabisa na Mwenye Enzi Mungu walahi
Ukome ku generalize mambo [emoji2959] tena ukome kabisa!
Mtu mzima ovyooooooo!
 
Navy wanashinda kigamboni.

Huko kuna mapolisi wa zuia uvuvi haramu
Kuna mtu hapo juu kasema kuwa Navy kazi yao ni kupigana vita vya majini. Jukumu la uokoaji ni kazi ya Jeshi la zimamoto na uokoaji
 
Picha za ajali ya ndege zimekwenda viral,Hii ni aibu.Duniani wanashangaa ndege imezungukwa na mitumbwi bala ya boti na meli za uokaji🤔
FB_IMG_1667800484833.jpg
 
Back
Top Bottom