real hustler
Senior Member
- Mar 12, 2021
- 143
- 204
Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa
Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asili ya hilo eneo je ni lake binafsi? Ana nyaraka?Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokota pesa
Niko morogoroAsili ya hilo eneo je ni lake binafsi? Ana nyaraka?
Ni la familia?
Ni la urithi?
Nyaraka serikali ya mtaa zinazolitambulisha umiliki na matumizi
Kama kina Hati basi akupe ukafanye verification kwenye ofisi ya Kamishna wa Ardhi ujiridhishe kama ni chake kweli pia kisije kikawa kina dhamana Benki. Pia fanya verification kwenye Serikali za Mitaa na hizo verifications fanya kwa maandishi siyo kwa mdomo tu.Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokota pesa
Hapa ni baadhi ya mambo ya kuzingatia:Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa
Angalia vizuri km kuna uwepo wa kaburi kaburi haliuzwi wenye kaburi lao watakuja kukuletea mgogoro kwamba hio ardhi yenye kaburi ilikua haiuzwi kwa hio umepigwaWakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa
Unachotakiwa kujua ni aina ya umiliki.Niko morogoro
Kobello
Kuna maeneo huku nimepata taarifa kuwa yalipimwa na kugawiwa wananchi miaka mitano iliyopita na Kwa walivyodai maeneo yapo chini ya uongozi wa eneo ni maeneo mapya Kwa maana hiyo.Unachotakiwa kujua ni aina ya umiliki.
Nenda kwenye eneo na surveyor akapate coordinates za Hilo eneo.
Akishamaliza kupima, kabla ya kuondoka muombe akutumie coordinates hapo hapo kwenye simu yako. Zitakuw kama excel file.
Ataangalia kama eneo lipo kwenye Town Plan Drawing (TP Drawing). Na kama lina approved Survey Plan.
Ukiwa vyote vipo basi zingatia post uliyo-quote.
Kama havipo, uangalie mfumi wa Serikali za mitaa kama ni Manispaa, miji mdogo au wilaya ili ujue tarafibu za umiliki na uuzaji.
Kama ni chini ya Manispaa na hamna mchoro Wala upimaji, achana nalo Hilo eneo, halifai.
Asili ya hilo eneo je ni lake binafsi? Ana nyaraka?Wakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokota pesa
Hati ya mauziano
Hakikisha hakijapakana na kanisa la walokoleWakuu naomba msaada nimepata eneo nahitaji kununua ila Kwa mtu.
Naomba vitu vya kuzingatia kuokoa pesa