1,Angalia ubora wa kiwanja
2,Chunguza kama kina migogoro
3, fahamu ukomo wa kiwanja
4, chunguza kama kina nyaraka zote sahihi ikiwemo hati nk
5, mthibitishe anayetaka kukuuzia kiwanja kama ni chake kwa majirani wa eneo hilo na mjumbe wa eneo hilo.
6, wakati mnakabidhiana kiwanja uwe na mashahidi wa kutosha wakiwemo majirani na wajumbe wa maeneo hayo kama mashaidi
7, Wakati mnakabidhiana jitahidi uende ana cameraman kwaajili ya kuchukua video za matukio yote na kuchukua sura za wote waliikuwepo wasije waka kugeuka baadae.
9, hao mashahidi wapooze hata kwa ten ten, hao wajumbe na majirani kwa kuwakusanya kwenye shughuli yako.
10, hapo sasa kiwanja kinakuwa halali kwako