Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari watu wangu wa nguvu..mnaendeleaje!(nimewahamu)😊 Aiseh mbona hamtoi mialiko ya hii public holiday jamani😉fresh lakini😁
Sawa turudi kwenye mada husika.
Ni kwa muda kidogo nime kuwa nikitafakari tunakoelekea miaka kadhaa mbele watoto wetu watakutana na changamoto zipi Hapo baadae ukizingatia hapa tulipo sasa tu naona mambo yameshaanza kuharibika.
Leo ninaangalia huu upasuaji wa miili yetu(wanawake)kukata baadhi ya mbavu ili kuwa na kiuno nyigu,kuongeza makalio,nyonyo na mengineyo hivi tulishawahi kujiuliza ni madhara gani tutakuja kuyapata baada ya upasuaji huo?🥺
Tunayafanya yote hayo ili kuwavutia wanaume?je siku tukipata madhara watasimama pamoja nasi?au ni kufurahisha mioyo yetu?ni kwa kiwango gani tumejiandaa na matokeo baada ya miaka kadhaa?
Nini kifanyike basi?njia gani itumike angalau kwa kiwango fulani kuweza kupunguza Haya yote?🥺
Nawasilisha🧚♀️🧚♀️
Sawa turudi kwenye mada husika.
Ni kwa muda kidogo nime kuwa nikitafakari tunakoelekea miaka kadhaa mbele watoto wetu watakutana na changamoto zipi Hapo baadae ukizingatia hapa tulipo sasa tu naona mambo yameshaanza kuharibika.
Leo ninaangalia huu upasuaji wa miili yetu(wanawake)kukata baadhi ya mbavu ili kuwa na kiuno nyigu,kuongeza makalio,nyonyo na mengineyo hivi tulishawahi kujiuliza ni madhara gani tutakuja kuyapata baada ya upasuaji huo?🥺
Tunayafanya yote hayo ili kuwavutia wanaume?je siku tukipata madhara watasimama pamoja nasi?au ni kufurahisha mioyo yetu?ni kwa kiwango gani tumejiandaa na matokeo baada ya miaka kadhaa?
Nini kifanyike basi?njia gani itumike angalau kwa kiwango fulani kuweza kupunguza Haya yote?🥺
Nawasilisha🧚♀️🧚♀️