Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Ata wigi kipindi zinaingia wanaume walipinga ila saivi wao ndo wanatoa Hela Za wigi....so hata hii itafika stage mtu akiona dem wake ana 'upungufu' Fulani anatoa Hela anamlipia sajari
Na mwanaume akiwa na upungufu tunafanyeje?