Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

1.Yaani wewe ulishaolewa lkn mwanaume unataka ASIWE AMEOA. Wee ni Selfish

2. Unataka Mkristo( tena Msabato au mlokole ambaye ni mzinzi. HUPATI.
3. Ratio iko 1:8 Male: Female halafu nichukue used. Aseee mi mwaisa bora niende tukuyu
Namba moja hujaelewa... Nilimaanisha kwamba kwa umri wa utu uzima huo asiwe mtu ambaye hajawahi kuoa. Kwamba awe alishaoa either akafiwa au akatoa talaka. Umesoma kwa panic dear ndio maana umekosa point.

Duniani kila mtu ana wake. Mama yake diamond alikuwa na mume sembuse Mimi ndugu yangu?

Nitapata kwa awamu ya pili. Amini usiamini.
 
Unaweza kuwa sahihi au usiwe sahihi pia...
Naomba nikujulishe kwamba nimemuacha Mimi. Na kwa taarifa fupi ni kwamba tulioana. Tena anatamani sana turudiane Mimi nimechukua high way...
Dear sio kila mtu anaweza kuvumilia mateso kwa kuwa eti ana watoto wawili.
Me siko hivyo. Siku zote Amani na furaha yangu kwanza.
Alafu siku hizi masters ni kama degree tu.
Kwamba kuna mtu timamu kwenye hii platform alitegemea ungesema uliachwa wewe na kwamba huyo bwana hataki hata kukusikia sembuse kukuona?

As for me,kwa experience yangu ya kuishi na mwanamke sikuoni ukiwa mwema kama unavyo-pretend hapa kuwa so take your time usijitetee sana akitokea atakayekuvaa nendeni mkaanzishe libeneke maisha yasonge.
 
Namba moja hujaelewa... Nilimaanisha kwamba kwa umri wa utu uzima huo asiwe mtu ambaye hajawahi kuoa. Kwamba awe alishaoa either akafiwa au akatoa talaka. Umesoma kwa panic dear ndio maana umekosa point.

Duniani kila mtu ana wake. Mama yake diamond alikuwa na mume sembuse Mimi ndugu yangu?

Nitapata kwa awamu ya pili. Amini usiamini.
Tupia ka picha kwa pm yangu. Nitashukuru
 
Kila mtu ana msimamo wake ndugu yangu.
Haijalishi ukoje bei unahojiwekea ndio utakayouzwa nayo. Kwa hiyo vigezo ni muhimu hata kama Nina miaka 50. Pia Mimi ninahitaji watu wazima... Yani walishaoa wakafiwa au waka toa talaka.
Kila la heri mkuuu[emoji120]
 
Kwamba kuna mtu timamu kwenye hii platform alitegemea ungesema uliachwa wewe na kwamba huyo bwana hataki hata kukusikia sembuse kukuona?

As for me,kwa experience yangu ya kuishi na mwanamke sikuoni ukiwa mwema kama unavyo-pretend hapa kuwa so take your time usijitetee sana akitokea atakayekuvaa nendeni mkaanzishe libeneke maisha yasonge.
Asante
Ila kumbuka na Mimi sijaja kutafuta 'perfect' husband [emoji67]'.
 
Asante
Ila kumbuka na Mimi sijaja kutafuta 'perfect' husband [emoji67]'.
Kwa hiyo wewe show zako ni zile za ”hit n run” ain't you?

Maana ikiwa ulishaachana na bwana hapo nyuma na bado unatafuta mwengine wa kupoteza nae muda bila kuzingatia viwango huku akili yako umeshai-set kwamba akija yeyote alimradi ana degree sijui ni msabato au mlokole unabebana nae hatma itajulikana mbele kwa mbele kwanini tusihisi kuna kitu hakipo sawa upande wako?

Any way hainihusu sana ila kila la heri mkuu!
 
Back
Top Bottom