Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Wewe kweli gubegube kubwa.

Unajuaje kama mume alimtesa dada wa watu akaamua kuondoka akaishi peke yake? Unafikiri kuna mwanamke anayependa kuachana na mume wake?

Halafu kwanini iwe yeye ndio kaachwa/kukimbiwa?
Hata sisi wanawake tunaacha pia.
Heshimu mawazo ya mtu,mbona unam-attack,heshimu mwanaume hiyo ndio hulka njema ya mwanamke,ukimwona mwanamke anamtukana mwanaume hivi ujue ni bomu,kwa akili zako Hauna Cha kumshauri huyu,we ni feminist mkubwa
 
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).

Ninatafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo;
Awe mtu mzima ambaye yuko single kwa sababu za kufiwa na mke, au talaka ya kawaida. Ila ambaye yuko katika umri wa utu uzima Ila hajawahi kuoa hapana.
Awe na watoto... Ila ni vizuri wakiwa wa mama mmoja. Sio watoto 5 kila mtoto na mama yake.
Awe na akili ya maendeleo na kuboresha maisha.
Urefu wowote
Rangi yoyote
Elimu ya degree masters au PhD itapendeza zaidi.
Awe mkristo (akiwa msabato au mlokole ni vizuri zaidi).
Awe na chanzo cha mapato kinachoeleweka (mfano ajira binafsi au kuajiriwa).
Awe tayari kushirikiana au kunisaidia mawazo ya namba gani ya kuboresha kile njnachofanya au hata mawazo mapya ya kujenga.
Awe father material na mkarimu.
Ninaomba walio serious tu ndio waje PM. Pls pls usije PM kama hauko serious.
Asanteni waungwana.
Nenda makanisani...kwenye maombi...huku sisi wengi ni wahuni..zingatia.
 
Mkuu @nasmiletz, huo no Moto wa kuotea mbali.
Naona viashiria vya feminism, equality etc.
Boss unaogopa kitu kisichokuwepo ?? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Najua kwa nini umewaza Hivyo.
Ila kumbuka only a strong man will date a strong woman. Strong women aren't for weak men. Na Mimi Leo nipo natafuta mwanaume wa ukweli boss.
Kama umenielewa ni vyema.
 
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo
Mwili wa kawaida wenye mvuto kimapenzi japo (sina chura kubwa).
Nina watoto 2
Nimeachana na mwenzangu kwa sababu Ambazo hazizuiliki kwa miaka 3 sasa (siwazi kupasha kiporo kwa namna yoyote ile).
Elimu ya masters
Ajira: nimejiajiri Ila wakati flani flani fursa zinapotokea naajiriwa ajira za muda mfupi (mfano kwenye projects n. k).

Hamjambo wa MMU,

Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni ya phd. Sipendi uongo na hila.
.

-Umri bila shaka hujatupiga kamba, kama 2013 ulikuwa 29, basi sasa hivi ni 38+

-Elimu, mwaka 2013 ulikuwa na PhD, mwaka 2023 una Masters. Si haba huenda hii Master ni mpya na umeipata currently na kuignore Elimu yako ya zamani.


Yote kenda kumi, ile stori yako na Mudy mbona hukuimalizia
 
-Umri bila shaka hujatupiga kamba, kama 2013 ulikuwa 29, basi sasa hivi ni 38+

-Elimu, mwaka 2013 ulikuwa na PhD, mwaka 2023 una Masters. Si haba huenda hii Master ni mpya na umeipata currently na kuignore Elimu yako ya zamani.


Yote kenda kumi, ile stori yako na Mudy mbona hukuimalizia
Michezo ya utotoni hii. Ujinga ulikuwa mwingi.
Me PhD niitoe wapi?
Age yangu ni 38. Hutaki basi boss
 
Back
Top Bottom