Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wakuu nimeliangalia vizur suala la ubunifu kama sehemu ya kufanikiwa kimaisha na kuziona fursa. Kwa kuzingatia changamoto mbalimbali mitaani nina wazo la kufungua kampuni itakayokuwa inajihusisha na mambo yafuatayo
1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)
2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)
3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)
4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)
5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano
6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena
Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji
Kalaga baho
1. Kumtongoza mkeo mara ya pili kuona kama atakubali watu wengine au lah ( @1 mission ni tsh 25000)
2. Kumchunguza mkeo na kuandika report ya muenendo wake kwa vijana mbalimbali mtaani (@1 mission ni tsh 30000)
3. Kufanikisha dili la kufumania ( tshs 50000)
4. Kusaidia usababishaji wa mimba (bei maelewano)
5. Kusababisha kusamehewa baada ya kufumania, kwa kumfumania aliyekufumania ( hapa natuma mseseji moja tu ya kumsifia kwa shoo aliyonipa ili uifumanie na wewe msameheane) bei maelewano
6. Kufatilia mienendo ya eksi wako kabla hamjarudiana tena
Naomba kujua kama viwango vya bei ninavyoviweka ni rafiki kwa mtanzania. Na napolkea mawazo na wawekezaji
Kalaga baho