Sisi tunasema Swala+juhudi+ logic/akili sala peke yake ni useless, swala inakusaidia kupata utulivu kuondoa arrogance ili ufikilii sahihi na uongeze juhudi katika kazi.hapo hamna kitu, unaleta ujinga wa dini kwenye science!!!!!....hakuna cha kuomba, hapa ni science tu! Ukipanda juu ya mti ukajiachia ,utaanguka utakufa, hakuna sala wala swala ala Mungu atakunusuru...you will face the wrath of gravity....utakufa instantly...biashara itakufa instantly...
Ndiyo ukope sasaPesa haitoshag siku zote Mkuu ....sehemu nyingn hakuna Mkuu
Kwani amesema anaenda kufanya biashara? Mchanganuo wa nini???Take your time to think of the investment that is not that much risky and of which has low competition..... sijui kama ipo lkn fikiria kwanza kwa undani...kwahesabu za karibu ni kuwa kila mwezi rejesho ni 833,333.00 Tsh hii siyo hela ndogo.......think twice una invest biashara gani itakuzalishia 833,333.00 kwa mwezi rejesho na faida yako juu ya hiyo rejesho
Nimeishi,nime experience uchawi kwenye biashara chief. Una haki ya kusema ni ujinga kutokana na experience za lifestyle yako lakini sio kuleta outright dismissal ya hoja yangu.hapo hamna kitu, unaleta ujinga wa dini kwenye science!!!!!....hakuna cha kuomba, hapa ni science tu! Ukipanda juu ya mti ukajiachia ,utaanguka utakufa, hakuna sala wala swala ala Mungu atakunusuru...you will face the wrath of gravity....utakufa instantly...biashara itakufa instantly...
Wapi kasema anaenda kufanya biashara?Huu msemo ni wa kujidanganya, tafiti zinaonyesha 70% ya biashara mpya huwa zinakufa ndani ya miaka 2 ya kwanza. Mind you greater risk sio solution ila risk assessment na mitigation ndio matters. Mambo ya kujilipua ni wishful thinking
Wapi kasema anataka kufanya biashara?Nimeishi,nime experience uchawi kwenye biashara chief. Una haki ya kusema ni ujinga kutokana na experience za lifestyle yako lakini sio kuleta outright dismissal ya hoja yangu.
Anyway kwa pesa hiyo mdau anaweza kuagiza truck ya gazeti toka South Africa kwa m36 kila kitu. Huko Tz atauza 45-49 m kwa mzigo wote ndani ya siku 30. Pia kuna biashara ya mafuta kama vaseline,Nivea lotion/deodorant, kuagiza pombe Kali nayo ni big money.
Kazi za kufanya zipo lakini ibada,matambiko au ndumba za ulinzi muhimu. You must be strong spiritually kwenye harakati za utafutaji
anything that defies science must be dismissed!Nimeishi,nime experience uchawi kwenye biashara chief. Una haki ya kusema ni ujinga kutokana na experience za lifestyle yako lakini sio kuleta outright dismissal ya hoja yangu.
umeniacha hoiibada,matambiko au ndumba za ulinzi muhimu. You must be strong spiritually kwenye harakati za utafutaji
elewa, kwa 90m, for 9 yrs..simple arithmtic lazima arejeshe 850,000ths a month hapo hakuna mchanganuo..whatever biashara lazima alipe 850,000 ths a monthKwani amesema anaenda kufanya biashara? Mchanganuo wa nini???
π€£ππππππ ππShida siyo mkopo. Shida ni unaenda kufanyia nini? Usijekuta unaenda kujenga fremu za maduka kantalamba.
elewa, kwa 90m, for 9 yrs..simple arithmtic lazima arejeshe 850,000ths a month hapo hakuna mchanganuo..whatever biashara lazima alipe 850,000 ths a month
πππππNaona unachukua mkopo ili ndio kwanza uanzishe biashara mpya πππ...
Kila kheri mkuu