Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

Ahsante Mkuu ..huu mkopo sifanyii biashara...nataka nikauwekeze kwenye mutual fund ninufaike na compound interest
 
Habar za asubuh wadau.

Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.

Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Hiyo interest ni kubwa endapo hiyo hela utaiweka katika liabilities na sio Assets

Ukikopa hela wekeza katika biashara yenye cash flow ambayo italeta returning Kwa haraka.

Unaweza kuwa middle broker unapiga simu DSM kujua sokoni wanataka mini then wewe unawaletea na sio kulima uko kutoboa kupo Ila sio uhakika 100%

Kitu kingine kitachokupa hela ni Kuwa na taarifa sahihi
 
Nna swali mkuuu

Wewe ni motivation speaker?
 
Habar za asubuh wadau.

Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.

Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Mkopo nafuu na unaoleweka nenda kauchukue benki ya Zanzibar utakuja kunishukuru. Hayo mabenki mengine wote ni matapeli wakubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…