Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
-
- #101
Ahsante Mkuu ..huu mkopo sifanyii biashara...nataka nikauwekeze kwenye mutual fund ninufaike na compound interest
Matajiri wote wanakopa Wenye viwanda wote wanakopa Mkopo wa muda mrefu huwa ni faida kwa mabenki Kwa mtu anayetaka kufika mbali mkopo hauepukiki Muhimu ujue huo mkopo unaenda kuwekeza kwenye nini Kama mpambanaji, nakushauri chukua huo mkopo ata ukishindwa kulipa watakata kwenye akiba yako ya kustaafu. Kwa wale pia wenye magonjwa yanayoweza kuwapeleka mbinguni muda wowote na wana nafasi ya kukopa kupitia ajira zao; nawashauri wakope mkopo wa muda mrefu kwa faida ya familia zao; bima italipa.
Kama security yako ni kazi na kweli lengo ni kuifanyia investments, chukua.Niko in between kuchukua nataka na kuacha pia nataka
877,000/=Marejesho Kwa Mwezi sh ngapi?
Situmii kilevi cha aina yoyote MkuuMkuu unatumia KILEVI gani?
Acha uchawi wewe mataputapuMkopo wenye Riba hauna baraka...utakufelisha tu mbeleni
Shukrani MkuuKama security yako ni kazi na kweli lengo ni kuifanyia investments, chukua.
Hiyo interest ni kubwa endapo hiyo hela utaiweka katika liabilities na sio AssetsHabar za asubuh wadau.
Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Nna swali mkuuuHapo investment moja pekee haitoshi, inabidi hio hela aigawe kwa biashara hata 3.
Ningekuwa mimi, ningenunua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi, nikanunua na mahindi yameshuka bei saivi, nikafanya packaging ya Unga. Pumba pia ni dili sana, na hela ya wanaokuja kusaga bado inaingia.
2. Ningenunua tent za kukodisha, viti vya plastic na meza za round kwa ajili ya sherehe mbali mbali.
3. Ningenunua mashine ya kukamua alizeti, mashudu nabaki nayo mimi, hela ya kukamua pia inaingia. Na pia alizeti nanunua kwa bei nayojiwekea mimi kama kilo moja ni 600 ni 600, hakuna ubishi, atawapata tu wenye shida, haha
Hapo hio 90M inarudi kama upepo.
kipengele hiki sijakuelewaNi sawa na kuwa na fremu ya laki 5 kila mwezi,
Hii ni sahihi kweli?Ahsante Mkuu ..huu mkopo sifanyii biashara...nataka nikauwekeze kwenye mutual fund ninufaike na compound interest
Hakuna kitu utapata πππ sasa mkuu hizo mutual funds zinalipa 10-14% kwa mwaka, wew bank unalipa 16% kwa mwaka,Hii pesa nataka nikainvest Kwenye mutual fund ambapo interest yake ni compound interest
Niko tayar pesa zikae huko hata miaka 30Hii ni sahihi kweli?
#YNWA
Kuna compound effect Mkuu ..Niko tayar zikae hata miaka 30Hakuna kitu utapata πππ sasa mkuu hizo mutual funds zinalipa 10-14% kwa mwaka, wew bank unalipa 16% kwa mwaka,
Sikushauri ubebe kama lengo ni hilo
unastaafu hufi unaanzaje bila penshen lumpsum ? think twice....Kama mpambanaji, nakushauri chukua huo mkopo ata ukishindwa kulipa watakata kwenye akiba yako ya kustaafu.
Nina miaka 30+ mbele ndo nistaafu Mkuuunastaafu hufi unaanzaje bila penshen lumpsum ? think twice....
Mkopo nafuu na unaoleweka nenda kauchukue benki ya Zanzibar utakuja kunishukuru. Hayo mabenki mengine wote ni matapeli wakubwa!Habar za asubuh wadau.
Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Kuna compound effect Mkuu ..Niko tayar zikae hata miaka 30
Unashauri nini kifanyike mkuu?Asilimia 99 ya watumishi hawanufaiki na mikopo wakopayo,wao wamekuwa waneemesha mabenki