Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

Mimi nakwambia kitu ninachokijua na practical issue si kubumba, sawa.
 
Chukua ushauri huu.
 
Hyu akifungua hdw anapata hyo pesa na analipa kbsa huo mkopo tatizo Ni mkopo wa Muda mrefu
 
Habari za asubuhi wadau.

Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.

Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Chukua, alafu tafuta demu mmoja mkaliiii, kamle tiGo
 
Kama hajui kumeki sabjecti bado kichwa lazima kiwake moto
 
Kopa weka kwenye real asset angalau hautolia.
Mfano ukichukua hio m 50 ukaifukia kwenye ardhi saveyed area.
Baada ya miaka 9 itazaa m 200 so toa M 90 utabakia na m 110 faida
 
Chukua mwanangu, alafu toa 10M katengeneze Tent za kukodisha 5, kwa mwaka jiwekee kurudisha mkopo kwa kiasi cha 10M ndani ya biashara zako tu. Tent pekee kwenye hio 10 zinakupa 5M, hio 5M nyingine angalia 40M utaiwekeza wapi.
Nahitaji ufafanuzi hapa mkuu nina akiba yangu nataka kuifanyia biashara nyingine tofauti na ninayo fanya. Hebu fafanua kuhusu Tent
 
Mkuu nikushukuru kwa elimu uliyoitoa sababu umenipa mwanga kwenye haya mambo ya mikopo.

Ila hapo mwisho umemaliza vibaya, sababu hakuna pahala popote niliposema nahitaji mkopo, kwa hiyo siyo busara kunichuria nyumba yangu kuuzwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…