Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
Hongera hapo kwenye ushauri chukua yote lakini wazo lako ni muhim usije kusema wana wameniingiza chakaKwa moyo wa dhati kabisa napenda kuwashukuru nyote mlionisapot kimawazo kupitia Uzi huu....nimeamua kuchukua huo mkopo Kwa moyo mkunjufu mengine Mungu atanisaidia