Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ndugu zangu Nimekua kwenye hizi process za kuomba visa aisee nimejua vitu vingi sana

USA sio vyepesi
CANADA sio vyepesi
UK, AUSTRALIA and NEW ZEALAND sio kwepesi

Yaani hizo nchi hapo juu wanaigeria wao wanasema " you need a grace of GOD" kwa sisi "wanyonge" yaani utakutana tu na "I am not satisfied that you will leave Canada at the end of your stay, as stipulated in subsection 216(1) of the IRPR, based on your ...........(reasons)

cheki huyu mwamba sasa na hakati tamaa
1st Refusal (Visitor Visa applied from India in Jan 2020) - Feb 2020
2nd Refusal (Study permit applied from UAE in Nov 2020) - Dec 2020
3rd Refusal (Study permit applied from UAE in Feb 2021) - Apr 2021
Re-Applied from India on 7th May for May 2021 intake

visa za uanafunzi ni Nyepesi sana kwa nchi za EU
Ulifanikiwa kupata baada ya kutimiza mambo gani mkuu, tusimulie mchakato ulivyokuwa.....
 
Wanafanya siku hizi..zamani ndio walikuwa hawafanyi au bank wenyewe watume bank statement wenyewe from official email na responsible person wa bank.
Mambo yalienda vipi kwa upande wako mkuu katika ufatiliaji wa Visa
 
Nyuzi kama hizi wajanja hawachezi mbali, Infos nyingi balozi wanaziverify hasa BS, Peleka documents za uwongo, unapigwa bani la miaka 10 kwa nchi kama US
Si mchezo mkuu inabidi upate mtu waku ku sponsor kama huna uwezo
 
Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale Ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiwa huko. It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response.

Nakaribisha ushauri.
Nenda kurasini kwa dr anna makakara
 
Apply chuo, timiza mashart yote.utapata visa ya kwenda kusoma. Ukifika ufanye akili yako itakavyokutuma.umakini unahitajika.
walituongezea mashrt makali mno.
kwny acc yako lazima uwe na minimum ya kiasi fula for the past 3 months, anayekusomesha naye awe na mshiko wa maana unaoendana na gharama za chuo na kuishi kwako kule
 
walituongezea mashrt makali mno.
kwny acc yako lazima uwe na minimum ya kiasi fula for the past 3 months, anayekusomesha naye awe na mshiko wa maana unaoendana na gharama za chuo na kuishi kwako kule

Masharti ni makali kweli kweli

Kwa Canada uwe na Ada ya mwaka mmoja plus $10,000Cdn total kama $25,000cdn kwa mwaka lakini inategemeana na ada ya chuo chako
 
walituongezea mashrt makali mno.
kwny acc yako lazima uwe na minimum ya kiasi fula for the past 3 months, anayekusomesha naye awe na mshiko wa maana unaoendana na gharama za chuo na kuishi kwako kule
Duh
 
Naona kwenye uzi huu watu wengi wanazungumzia kwenda ughaibuni lakini maelezo machache sana ndo ya uhakika.
Kwa ufupi viza kwa sasa nchi yeyote ya maana si rahisi,na hii corona imezidisha ugumu ukitilia maanae status yaTz na corona haijulikani. Kwanza sahau kabisa kutumia viti feki kuombea visa,utakosa.
Visa za kutembea au za uanafunzi,bado ngumu sababu wanajua wengi wazamiaji,has nchi za Usa na canada, ulaya hasa uk wana masharti ya ovyo na wanataka kozi utalayoenda kuisoma haipatikani bongo pia uwe umelipia kiwango flani cha fee.Ili upate urahisi,kozi iwe undergraduate au graduate (degree ya 1na masters),ieleweke international student uk anaweza kulipa ada ya kuanzia £10,000 kwa mwaka mpaka £38,000 kwa mwaka kutegemea na course na chuo ulochagua.
Visa ya kutembea pia bahati nasibu,unaweza ukapata barua ya mwaliko,cheti cha nyumba,pesa bank na mwenyeji bado wakakunyima.
Njia ya uhakika zaidi,ambayo inahitaji uvumilivu ni moja tu,Ndoa.
Ukipata mwanamke au mwanamme anaeishi usa,canada,uk australia,germany,france you name it,kama anafanya kazi ya halali,analipa kodi,ana sehemu ya kuishi na ana mkataba nayo akaamua kuoa au kuolewa na wewe ulie bongo,wewe wa bongo hutakiwi kufanya mambo mengi,yote anamaliza yeye.hii mdo njia nyepesi kuliko zote unazosona hapa,sababu ukipata viza ya ndoa ukifika unapoenda unaweza kufanya kazi moja kwa moja tena ki harali kabisa.ukasoma ukitaka na unaweza kurudi kwenu mda unaotaka.
Wabongo wengi wapo izo nchi na uraia wao na wana uhitaji wa wake na wengine waume,tatizo hatuaminiani,lakini ukimpata atakaekuamini utashangaa utakavyopanda ndege ki uraini.
I speak from experience na wala sijimwambafai.
 
Naona kwenye uzi huu watu wengi wanazungumzia kwenda ughaibuni lakini maelezo machache sana ndo ya uhakika.
Kwa ufupi viza kwa sasa nchi yeyote ya maana si rahisi,na hii corona imezidisha ugumu ukitilia maanae status yaTz na corona haijulikani. Kwanza sahau kabisa kutumia viti feki kuombea visa,utakosa.
Visa za kutembea au za uanafunzi,bado ngumu sababu wanajua wengi wazamiaji,has nchi za Usa na canada, ulaya hasa uk wana masharti ya ovyo na wanataka kozi utalayoenda kuisoma haipatikani bongo pia uwe umelipia kiwango flani cha fee.Ili upate urahisi,kozi iwe undergraduate au graduate (degree ya 1na masters),ieleweke international student uk anaweza kulipa ada ya kuanzia £10,000 kwa mwaka mpaka £38,000 kwa mwaka kutegemea na course na chuo ulochagua.
Visa ya kutembea pia bahati nasibu,unaweza ukapata barua ya mwaliko,cheti cha nyumba,pesa bank na mwenyeji bado wakakunyima.
Njia ya uhakika zaidi,ambayo inahitaji uvumilivu ni moja tu,Ndoa.
Ukipata mwanamke au mwanamme anaeishi usa,canada,uk australia,germany,france you name it,kama anafanya kazi ya halali,analipa kodi,ana sehemu ya kuishi na ana mkataba nayo akaamua kuoa au kuolewa na wewe ulie bongo,wewe wa bongo hutakiwi kufanya mambo mengi,yote anamaliza yeye.hii mdo njia nyepesi kuliko zote unazosona hapa,sababu ukipata viza ya ndoa ukifika unapoenda unaweza kufanya kazi moja kwa moja tena ki harali kabisa.ukasoma ukitaka na unaweza kurudi kwenu mda unaotaka.
Wabongo wengi wapo izo nchi na uraia wao na wana uhitaji wa wake na wengine waume,tatizo hatuaminiani,lakini ukimpata atakaekuamini utashangaa utakavyopanda ndege ki uraini.
I speak from experience na wala sijimwambafai.
Mambo yamezidi kuwa magumu...
Mkuu ulipata mzungu?
 
Mkuu moja ya kitu kirahisi kufoji ni BS. Hiyo hata ukipewa saa1 utoe utaipata kama unajua nini cha kufanya. Ikumbukwe si ubalozi au uhamiaji wa nchi yeyote ile duniani utaenda ku-verify uhalali wa BS yako na bank yako bila idhini yako au mahakama kuamuru hivyo. You just have to play your cards right.

Kila mtu akifuata hivyo vigezo wanavyotaka sijui 20K USD, kazi, assests etc. nje wataenda mafogo tu, mbongo gani wa kawaida anavyo hivyo vigezo? Watoto wa mbwa tunapita mlango wa nyuma, hii haitaisha leo wala kesho.
Eti watoto wa mbwa[emoji1][emoji1]
 
Yes Mkuu kama mtu unatumia forgery bank statements na hauna hiyo hela kwenye account ni atlist pale kwenye swali wanalouliza who is paying for your trip unaandika my father /my sister /my mother / my uncle hizo statements akikisha jina lako la mwisho linafanana nazo, kuliko kujifanya ni hela zako
Kama mama itakuwaje maana majina hayafanani
 
Wanafanya siku hizi..zamani ndio walikuwa hawafanyi au bank wenyewe watume bank statement wenyewe from official email na responsible person wa bank.

Suka mchongo na mtu wa bank mbona easy tu. Counterfeit BS zenyewe tunatoa huko huko bank zina muhuri kabisa wa branch manager. Bongo hii hata mhuri wa Ikulu unapata ila for some reasons watu mnaona banks hazigusiki.

Nasisitiza katika kughushi usiishie kwenye docs tu inabidi ujue jinsi ya kuziba weak links zote na hiyo ndo changamoto yenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Back
Top Bottom