Wazinzi kwenye ubora wenu, endeleeni kufa taratibu
yule dada kushoto asingepiga jeki ningeisave
[emoji23][emoji23] me bwana bora country akuoe nawapenda sana we na country[emoji23][emoji23][emoji23] Huyo mzungu Kantri mwenyewe ss hivi kalizoea naye anaita uduguu itakuwa weye [emoji2222][emoji2222]
Nina wafahamu wanawake wengi walikuwa na mbwembwe nyingi sana na mdomo haswa kweny makundi ya kusutana.
Ila walivyoolewa wamekuwa kimya yaani ukiwauliza wanakuambia "ule ulikuwa utoto"
Huwezi kuamini maana darasani walikuwa wanaporoka na kusutana daily na wenzao ..Sasa naona wapo kimya tena wapole.
[emoji23][emoji23] me bwana bora country akuoe nawapenda sana we na country
Mpenda ukuni wewe[emoji16]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Akibinukile mwakatako
Sifa Chache za Mcharuko...
1>Anakua na mazoea na wanaume bila mipaka...
2 >muda wowote analiwa muda huo wewe umejilaza kitandani kwako yeye yupo nje...
3>Maarufu kwa eneo analoishi kuliko hata Viongozi wa Eneo husika
4>Uwezo mdogo wa kutunza Siri
5>Unaweza kwenda Dukani kwa ishu yako nyingine..Utashangaa una ambiwa (mcharuko) wako anadeni la 60k na lina Mwezi mzima..na pesa huwa una mpa ya kutosha tu...
Kuna jini kisirani linajiita Munch wa annabelletz47 limeingia huku kudislike sijui linapigwa 065...?[emoji1787][emoji1787]
[emoji28]enjoy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kuna jini kisirani linajiita Munch wa annabelletz47 limeingia huku kudislike sijui linapigwa 065...?🤣🤣
Kuna tofauti kati ya mcharuko na mcheshi mkuu, Mcharuko ni pisi ambayo haijatulia na inaliwa hovyohovyo.