Ninavutiwa sana na wanawake micharuko A.K.A wacheshi


Lile vagi tunaliamishia chumbani kwa waume zetu bro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sifa Chache za Mcharuko...

1>Anakua na mazoea na wanaume bila mipaka...

2 >muda wowote analiwa muda huo wewe umejilaza kitandani kwako yeye yupo nje...

3>Maarufu kwa eneo analoishi kuliko hata Viongozi wa Eneo husika

4>Uwezo mdogo wa kutunza Siri

5>Unaweza kwenda Dukani kwa ishu yako nyingine..Utashangaa una ambiwa (mcharuko) wako anadeni la 60k na lina Mwezi mzima..na pesa huwa una mpa ya kutosha tu...
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…