YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Wazinzi kwenye ubora wenu, endeleeni kufa taratibu
Sawa mlinzi wa Dunia [emoji2222][emoji2222]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazinzi kwenye ubora wenu, endeleeni kufa taratibu
yule dada kushoto asingepiga jeki ningeisave
[emoji23][emoji23] me bwana bora country akuoe nawapenda sana we na country[emoji23][emoji23][emoji23] Huyo mzungu Kantri mwenyewe ss hivi kalizoea naye anaita uduguu itakuwa weye [emoji2222][emoji2222]
Nina wafahamu wanawake wengi walikuwa na mbwembwe nyingi sana na mdomo haswa kweny makundi ya kusutana.
Ila walivyoolewa wamekuwa kimya yaani ukiwauliza wanakuambia "ule ulikuwa utoto"
Huwezi kuamini maana darasani walikuwa wanaporoka na kusutana daily na wenzao ..Sasa naona wapo kimya tena wapole.
[emoji23][emoji23] me bwana bora country akuoe nawapenda sana we na country
Mpenda ukuni wewe[emoji16]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Akibinukile mwakatako
Sifa Chache za Mcharuko...
1>Anakua na mazoea na wanaume bila mipaka...
2 >muda wowote analiwa muda huo wewe umejilaza kitandani kwako yeye yupo nje...
3>Maarufu kwa eneo analoishi kuliko hata Viongozi wa Eneo husika
4>Uwezo mdogo wa kutunza Siri
5>Unaweza kwenda Dukani kwa ishu yako nyingine..Utashangaa una ambiwa (mcharuko) wako anadeni la 60k na lina Mwezi mzima..na pesa huwa una mpa ya kutosha tu...
Kuna jini kisirani linajiita Munch wa annabelletz47 limeingia huku kudislike sijui linapigwa 065...?[emoji1787][emoji1787]
[emoji28]enjoy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kuna jini kisirani linajiita Munch wa annabelletz47 limeingia huku kudislike sijui linapigwa 065...?🤣🤣
Kuna tofauti kati ya mcharuko na mcheshi mkuu, Mcharuko ni pisi ambayo haijatulia na inaliwa hovyohovyo.