Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
We wetu mbona,umepita bila kupingwa hebu kula dedication ya ule wimbo wa mabantu "Shem kama Shem"Kichuga ndio habari, mwendo wa ngiri hakuna kuremba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We wetu mbona,umepita bila kupingwa hebu kula dedication ya ule wimbo wa mabantu "Shem kama Shem"Kichuga ndio habari, mwendo wa ngiri hakuna kuremba
Hatulii mtu hapa hadi kieleweke[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari kitu gani bwana,,,Shem tangu siku ya kwanza anakutongoza kichuga namwangalia tu mikwara mingiii mmezinguana wewe mwisho harusi imefika[emoji13]
Mwanamke yoyote anaeweza kuhimiri flirting zangu za hapa na pale huyo kwangu hua ni rafiki wa kudumu, wale kidogo kanuna kidogo kakunja ndita siwaweziWanawake micharuko mna mbingu yenu ninawapenda sana.
Daah niliwahi flirt na demu mkimya nilimpiga chini haraka, napenda demu mcheshi na aliye huru kwanguMwanamke yoyote anaeweza kuhimiri flirting zangu za hapa na pale huyo kwangu hua ni rafiki wa kudumu, wale kidogo kanuna kidogo kakunja ndita siwawezi
Yote yanakera aiseeSasa Bora mtu aseme udugu kuliki dyadya,,,linanikeragaaa😆😆😆😆
Mwanamke yoyote anaeweza kuhimiri flirting zangu ni rafiki yangu wa kudumu, cause Mimi ku flirt ni tabia yangu sasa siwezi kua na mtu amepooza uki flirt anachonga ndita piga chiniDaah niliwahi flirt na demu mkimya nilimpiga chini haraka, napenda demu mcheshi na aliye huru kwangu
Jambo lingine, wakimya wengi matukio yao ni hatari.Mwanamke yoyote anaeweza kuhimiri flirting zangu ni rafiki yangu wa kudumu, cause Mimi ku flirt ni tabia yangu sasa siwezi kua na mtu amepooza uki flirt anachonga ndita piga chini
Kimya kingi kina Mshindo 😆Jambo lingine, wakimya wengi matukio yao ni hatari.
Unaweza kuwa na mpenzi mkiya ujiamini hawezi cheat, ipo siku utajinyonga ukigundua umepigwa matukio ya hypersonic😂
Cute wife umeona hizi compliments? Let's make it happen, tuwape watu furaha[emoji7]
Kwa hiyo Bora tukio la mcharuko halistui au Sio?😆😆Jambo lingine, wakimya wengi matukio yao ni hatari.
Unaweza kuwa na mpenzi mkiya ujiamini hawezi cheat, ipo siku utajinyonga ukigundua umepigwa matukio ya hypersonic😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana ni mweusi sana...atatuharibia mbegu sie tunataka vitoto vi cute Kama shem county
Best man suit iko tayari