Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Nakubaliana na wewe kamanda kuna vitu siwezi himili kabisa..!!πŸ™Œ
Mimi ni mkali hadi najiogopa but siku hizi unaweza kufanya lolote nabaki kukucheka kama vile hujaniudhi.

Jinsi unavyoongezeka umri kuna vitu unavishinda auto..
 
Mimi ni mkali hadi najiogopa but siku hizi unaweza kufanya lolote nabaki kukucheka kama vile hujaniudhi.

Jinsi unavyoongezeka umri kuna vitu unavishinda auto..
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe kamanda..!!πŸ™
 
Asante kwa nafasi mkuu... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Madam Nakadori eti nini siri ya mafanikio ya kuwa queen πŸ‘‘ member wa hapa mmu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
..... honestly wazazi wetuhuwa hawakubali tu lakini kwenye malezi huwa kuna kaupendeleo fulani mtoto mojawapo(anakuwa mtoto wa pekee kwake)......so according to what you have said, I guess, to your mom jivunie kuwa you were the choosen one....rest in iternal peace our mom........
 
Hakupata mtoto mwingine maisha yake yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…