Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Tongozo la kibabe sana
Kuna baadhi ya mashairi yangu umeazima hapo na haujaniaknoleji
 
Moderators Active and Paw, Ninaomba majibu ya Nakadori post #94 yaunganishwe kwenye Post #1, nawaomba sana hii itapendeza hata majibu yake mengine muwe mnayaunganisha na post #100
 
Hahahaa Glenn nilikuambua juzi huyu Nakadori yuko vizuri sana upstairs , hasa hapo kwenye hiyo flirting . Hahahaa ina maana safari huwa inaishia njiani tu?? 🤣 🤣 🤣
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…