Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Mkuu haiwez tokea
Me nko busy na casual dating full maraha na ma new fantasies


Kila lionekanalo rahisi basi lilikuwa na ugumu wake mwanzoni, hopefully everything's gonna be good.

Usijiapize hivyo.
 
Swali la 4: dah nikiwa mkweli marafiki ninao wengi sana wa kiume hapa jf ila wengi imeishia kwenye flirting na sio zaidi ya hapo.
Kwa JF nipo single ila kwa huko nje niko kwenye casual relationship.
Kuhusu swali la aina ya mwanaume ninayempennda nadhan nshakujibu hapo juu.
Nadhan nimekujibu.
........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....
 
........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....
Hahaha yani basi tu labda ndo nna mpango wa kukutana na mmoja tumalizie kabisaa baada ya kuona tinaendana kimtazamo
 
Back
Top Bottom