Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂
Mkuu haiwez tokea
Me nko busy na casual dating full maraha na ma new fantasies
We Acha tu shemela sio mdekezaj ila nalazimisha hvo hvo apende asipende nadekaPambana,
Kwani hauna shem wa kukudekeza? Yani mwandiko umekaa kideko deko utundu utundu 😂😂
Haya banaKila lionekanalo rahisi basi lilikuwa na ugumu wake mwanzoni, hopefully everything's gonna be good.
Usijiapize hivyo.
Nimeweka benchi kabisa
Interesting.! majibu yako smart sana [emoji4]Nomeshajibu
........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....Swali la 4: dah nikiwa mkweli marafiki ninao wengi sana wa kiume hapa jf ila wengi imeishia kwenye flirting na sio zaidi ya hapo.
Kwa JF nipo single ila kwa huko nje niko kwenye casual relationship.
Kuhusu swali la aina ya mwanaume ninayempennda nadhan nshakujibu hapo juu.
Nadhan nimekujibu.
Karibu nimesogeaSogea tukae wote basi, kama hakuna mtu anaekuja.
Hilo shamba unaweza nikabidhi nilime?Nna ujanja gan na wewe me shamba tu
Hahaha yani basi tu labda ndo nna mpango wa kukutana na mmoja tumalizie kabisaa baada ya kuona tinaendana kimtazamo........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....
Mi sijuagi kudeka labda wakati wa kuzagamuliwa tu😂We Acha tu shemela sio mdekezaj ila nalazimisha hvo hvo apende asipende nadeka
😂😂😂😂una trekta?? Maana jembe pekee hutawezaHilo shamba unaweza nikabidhi nilime?
Hadi excaveta mamii😂😂😂😂una trekta?? Maana jembe pekee hutaweza