Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Nenda u like kwanza comment zote ulizo niquote๐Ÿ˜‚, kila mtu kuna namna unampatia picha kutokana na mwandiko humu, ๐Ÿ˜‚ nikisoma nahisi we ni wa mwisho kuzaliwa,
Kabisa me ni precious baby (Mjf ulonipa hili jina umepatia sana... ) wa kwanza na wa mwisho. Nilidekezwa sana na mazaa... ameniacha sasa napambana na wadunia wasiojua cha precious baby
 
Hahahaa Glenn nilikuambua juzi huyu Nakadori yuko vizuri sana upstairs , hasa hapo kwenye hiyo flirting . Hahahaa ina maana safari huwa inaishia njiani tu?? ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
Ninamuelewa huyu sana kupitia mwandiko...mjanja kuliko wanavyodhani
 
Kabisa me ni precious baby (Mjf ulonipa hili jina umepatia sana... ) wa kwanza na wa mwisho. Nilidekezwa sana na mazaa... ameniacha sasa napambana na wadunia wasiojua cha precious baby
Pambana,

Kwani hauna shem wa kukudekeza? Yani mwandiko umekaa kideko deko utundu utundu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom