Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....
Hili la kuishia flirting nadhani hapa kunakuwa kunatokea sintonfahamu, yawezekana Ke ni Mpole sana na ME ni Mbabe sana hapo lazima mtaishia kwenye flirting tu 😂😂😂
 
Mara kumbe nakadori ni mshikaji🤣🤣🤣🤣
Mleta thread ni Jasusi la MMU naanzaje kumhoji Mshikaji mwenye Id ya Kike ?? 😂😂😂
 
Hili la kuishia flirting nadhani hapa kunakuwa kunatokea sintonfahamu, yawezekana Ke ni Mpole sana na ME ni Mbabe sana hapo lazima mtaishia kwenye flirting tu 😂😂😂
Hahaha
 
Back
Top Bottom