Ninavyomjua Nakadori humu MMU

........tell us just by one example, ilikuwaje hadi mnaishia flirting.....ama kwa hakika walichezea shlilingi chooni.... mimi tutafika mbali sana.....
Hili la kuishia flirting nadhani hapa kunakuwa kunatokea sintonfahamu, yawezekana Ke ni Mpole sana na ME ni Mbabe sana hapo lazima mtaishia kwenye flirting tu 😂😂😂
 
Hili la kuishia flirting nadhani hapa kunakuwa kunatokea sintonfahamu, yawezekana Ke ni Mpole sana na ME ni Mbabe sana hapo lazima mtaishia kwenye flirting tu 😂😂😂
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…