Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Na iwe hivyooAngekuwa wa kuniomba angeshakuwa ameniomba Ila ninamchukulia kama kakaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na iwe hivyooAngekuwa wa kuniomba angeshakuwa ameniomba Ila ninamchukulia kama kakaaa
UnayoooJeuri ninayo basi?
Mie nasubiri hashtag yako baba..!!Tunasubiri Hashtags.....
#WeMetJF
.....tulia hapohapo bibie nakuletea 🍿 popcorn....Nimeweka benchi kabisa
🤭Kikaangoni positively usihofu
Kaka🙄Hahahaha
Wewe huyu ni kaka angu
Ndio ki jf jf ni kama kakaKaka🙄
Ila hizi na fake ID ujueMleta thread ni Jasusi la MMU naanzaje kumhoji Mshikaji mwenye Id ya Kike ?? 😂😂😂
HahahaSiongozwi na tamaa za Kiboya na mihemko ya hovyo hovyo aisee,
Kwa niniNanyamaza siongei kitu aisee. 😂 😂 😂 😂 😂
HahahaNa iwe hivyoo
Abee rafiki.. Jana nikasubiri weee ile message inaandikwa "IMETHIBITISHWA"RAfiki
OkayAngekuwa wa kuniomba angeshakuwa ameniomba Ila ninamchukulia kama kakaaa
🤣🤣🤣 Mabimdogo hawapo kwaniJitahidi kuwa na hisia kamili basi, mbona wewe Ki JF ni Bebi Wife ?
💕😘😘Siongozwi na tamaa za Kiboya na mihemko ya hovyo hovyo aisee,
Maisha tu rafiki. Ila siwezi kuwa mbali na wewe na wewe wajuaUnajua vile nakuheshimu sana.
Ila umekuwa mbali sana sijui kwanini