FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mada umeielewa lakini? Kuna Mwinyi kwenye mada au Mkapa?Mwinyi na kikwete hawajawa mstari wa mbele?
Walifanya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada umeielewa lakini? Kuna Mwinyi kwenye mada au Mkapa?Mwinyi na kikwete hawajawa mstari wa mbele?
Walifanya nini
Kumbe ndiyo maana yako ya neno "udini"! Sasa wewe unaefikiri tu yako kichwani siyo "udini" huo?Udini ni pale unaposhadidia makala zinazoangukia dini fulani kila wakati. Mfano wewe hata ulikonfuzi na kumshabikia waziri mkuu wa Ethiopia ukikengenyuka kuwa ni mwislam ilhal ni mlokole. By the way mimi ni muislam lakini sipendi udini.
Kudai uhuru ni mchakato mpana, hivyo kila mmoja anaangalia katika engo tofauti, lakini angalia makala zake ni uchonganishi wa wenzetu na sisi. Kwa mtu mzima kama yeye haileti maana. Kwa vijana kama wewe hakuna shidaKumbe ndiyo maana.
Sasa wewe ukishabikia dini yako kuna kosa?
Kwenye hii mada kilichoshabikiwa ni kipi? Au unajishuku shuku tu?
Makala zake nani?Kudai uhuru ni mchakato mpana, hivyo kila mmoja anaangalia katika engo tofauti, lakini angalia makala zake ni uchonganishi wa wenzetu na sisi. Kwa mtu mzima kama yeye haileti maana. Kwa vijana kama wewe hakuna shida
Unanichosha jenga hoja kwanzaMakala zake nani?
Mbona hata jina Mohamed Said linakuwa gumu kwako kulitaja?
Hebu nioneshe huo uchonganishi ni upi katika maandiko ya Mohamed Said? Kuwa Rashidi Sisso hakuwepo wakati wa kudai Uhuru?
Mada umeielewa lakini? Kuna Mwinyi kwenye mada au Mkapa?
Mada umeielewa lakini? Kuna Mwinyi kwenye mada au Mkapa?
Umeusoma mstari huu juu hapo...
Nafasi za mbele katika mazishi na maombolezo watachukua wale waliokuja kumkumbatia na kujidai kumpenda Mwalimu kwa kuwa kwa kufanya hivyo kuna maslahi makubwa kwao.
Mistari ipo wazi kabisa hiyo. Unataka nikutafsirie kwa lugha ipi ndiyo utaielewa vizuri?Hii hapa chini ulimlenga nani na ulieelewa ulipokuwa unauliza
Hoja ipo kwenye post namba moja. Umeisoma?Unanichosha jenga hoja kwanza
Mwinyi na Kikwete walikuwepp katika harakati za kudai Uhuru? Umeziona picha? Umeisoma mada, umeona majina ya waliokuwa hai na walikuwa bega kwa bega na Marehemu Nyerere na ndiyo waliomkaribisha Dar.Mwinyi na kikwete hawajawa mstari wa mbele?
Walifanya nini
akikujibu unitagHivi "udini" maana yake nini?
Waislam walioshiriki katika kuleta uhuru wa nchi hii wanashangaa wanaposoma magazeti na kuambiwa na wanasiasa kuwa wao wanataka kuvuruga amani.Hoja ipo kwenye post namba moja. Umeisoma?
Lazima uchoke kwani umekurupuka bila kuisoma na kuielewa mada.
lete video hiyo ya madrasaAcha udini mkuu.....TZ haina dini....Uhuni ni tabia ya mtu wala haiangalii dini na ndio maana tumeona mapadre wanalawitiwa na pia tumeona mwalimu wa madrasa amerekodi video za ngono akitikisha makalio.
Umeongelea kuhusu Zanzibar, wasome Wazanzibari wameandika nini kuhusu Malima...Orodha ya viongozi wetu Tanzania
1. Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Mkristo
2. Ndugu Ally Hassan Mwinyi (mzee Ruksa)
Mwislam
3. Benjamin William Mkapa (mzee wa uwazi na ukweli)
Mkristu
4. Jakaya Mrisho Kikwete (mzee wa anga)
Mwislam
5. John Pombe Magufuli (mzee wa pushapu)
Mkristo
Hatujapata ajaye rais wa 6 na kwa trend hii atakuwa mwislam lazima....by induction method
Mzee Mwinyi na mzee Kikwete walipaswa kurekebisha mapungufu unayoyaona endapo yapo.
Mwilinyi aliwapiga mwembe chai
Benjamin aliwapiga zanzibar mpaka shimoni Mombasa
Kikwete na mashekhe wa uamsho zanzibar, kawasweka nakuwaacha ndani mpaka leo kama sijakosea sidhani kama ni Pombe
Hapa tunamlaum nani
Mwinyi, Benjamin au Kikwete?
Inafahamika kuwa Profesa Malima, aliyekuja kufariki dunia jijini London, Uingereza, miezi michache baada ya kujiondoa serikalini na kutangaza kuwania urais kupitia chama kipya cha kisiasa, aliwahi kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje yake, kutokana na kujipambanua kwake kama msomi na msemaji wa ngome kuu ya CCM – jamii ya Kiislamu.Jibu swali la hao wazee, wewe ndiye usiyeelewa maana.Waislam walioshiriki katika kuleta uhuru wa nchi hii wanashangaa wanaposoma magazeti na kuambiwa na wanasiasa kuwa wao wanataka kuvuruga amani.
Kinachowashangaza ni kuwa vipi wao wapiganie uhuru wa nchi hii kisha wao waanze kuuvuruga.
Lakini kinachowashangaza Waislam zaidi na hasa marafiki wa zamani wa Mwalimu ni ukimya wake Mwalimu katika tatizo hili zito linalotishia uhai wa taifa hili.
Hiyo ni nini kama si uchuro
Nimekujibu sina dini.Nani kakuuliza yote hayo?
Nimekuuliza wewe hauna dini?
Mbona swali jepesi sana hilo.
Ndiyo umemaliza hoja yako hapo?Hata wewe ni wa kupewa kichapo kwa udini wenu
Mwalimu wa madrasa si MENINA?lete video hiyo ya madrasa
Nimekujibu sina dini.
Hahah daah nasikia 'juzuu' imemkaa kichwani vibaya sana.Mwalimu wa madrasa si MENINA?