Ninavyomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwalimu mtu wa watu (6)

Ninavyomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwalimu mtu wa watu (6)

Heko maalim.
Hiki nadhani ni kile waelezacho kuishi kwa sababu.(sina hakika kama ni maneno sahihi)
Waislam wa nchi hii na wazee wako umewasemea.
Mimi leo nimejifunza tu, persistence.

Sijui nini kati ya 'maumivu' au 'malengo' yanakusukuma kukomaa.
Najua dunia wakati mwingine hutupatia tusivyoviomba wala kuvitaka.
Kama ni maumivu mwenyezi Mungu akujalie faraja.
Kama ni malengo ikiwa ya heri ikawe hivyo uone majibu kabla ya kaburi.

Inshaallah
 
Kama kawaida, rejea zinatumika pale unapoona zinaendana na nia zako ila pale unapoona zinakinzana au kukupa ushahidi usiokutosheleza bhasi inakuja simulizi ya yaliyofanyika au uliyopata kuyasikia ukiwa mtoto au kijana mdogo NYUMBANI, SEBULENI, KIBARAZANI au POPOTE PALE kwa wahusika. Hujawahi kwenda kinyume na hapo

Nyerere angekuwa muislamu na kwa hicho kichwa cha habari, bhasi ungeandika kurasa tatu bila kuchoka na kwa ushahidi ila kwa kuwa ni mkristo bhasi imekuja simulizi ambayo hatuna hata hakika nayo ikifuatiwa na malalamiko tupu.
Eyce,
Kwa kweli sijui inakuwaje mnataabishwa na historia ambayo mimi nimeandika kuwaeleza wazee wangu.

Kipi kinapingwa.
Kuwa hayo ninayosema hawakufanya au kiti gani?
 
Wazee wetu walikengeuka kumuamini kafiri.....nyerere aliwauza wazee wetu
 
Heko maalim.
Hiki nadhani ni kile waelezacho kuishi kwa sababu.(sina hakika kama ni maneno sahihi)
Waislam wa nchi hii na wazee wako umewasemea.
Mimi leo nimejifunza tu, persistence.

Sijui nini kati ya 'maumivu' au 'malengo' yanakusukuma kukomaa.
Najua dunia wakati mwingine hutupatia tusivyoviomba wala kuvitaka.
Kama ni maumivu mwenyezi Mungu akujalie faraja.
Kama ni malengo ikiwa ya heri ikawe hivyo uone majibu kabla ya kaburi.

Inshaallah
Double R,
Mimi kilichonisukuma kuandika historia hii ni kuwa naijua si kwa kusoma hapana.

Wazee wangu walihusika katika kuasisi TANU na katika mengi yanayohusu historia ya Tanganyika.

Nasomeshwa somo linaitwa Government and Politics in East Africa, Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, anayosomesha mwalimu wangu yananishangaza.

Namfahamisha kuwa historia ya TANU haiwezi kuanza na Mwalimu Nyerere.
Namweleza.

Mwalimu wangu sasa ni zamu yake kustaajabu na zaidi ananiona mimi ni kichekesho.
Haya ndiyo yaliyonisukuma mimi kuandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes.

Matokeo yake ndiyo haya.
Nakushukuru kwa dua zako.

Amin kwa sote.
 
Back
Top Bottom