double R
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,399
- 2,541
Heko maalim.
Hiki nadhani ni kile waelezacho kuishi kwa sababu.(sina hakika kama ni maneno sahihi)
Waislam wa nchi hii na wazee wako umewasemea.
Mimi leo nimejifunza tu, persistence.
Sijui nini kati ya 'maumivu' au 'malengo' yanakusukuma kukomaa.
Najua dunia wakati mwingine hutupatia tusivyoviomba wala kuvitaka.
Kama ni maumivu mwenyezi Mungu akujalie faraja.
Kama ni malengo ikiwa ya heri ikawe hivyo uone majibu kabla ya kaburi.
Inshaallah
Hiki nadhani ni kile waelezacho kuishi kwa sababu.(sina hakika kama ni maneno sahihi)
Waislam wa nchi hii na wazee wako umewasemea.
Mimi leo nimejifunza tu, persistence.
Sijui nini kati ya 'maumivu' au 'malengo' yanakusukuma kukomaa.
Najua dunia wakati mwingine hutupatia tusivyoviomba wala kuvitaka.
Kama ni maumivu mwenyezi Mungu akujalie faraja.
Kama ni malengo ikiwa ya heri ikawe hivyo uone majibu kabla ya kaburi.
Inshaallah