mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Jana nilibet match moja tu ya Yanga na niliweka milioni nikijua Yanga atashinda, nikapiga hela yangu ya kunitosha kula wiki nzima.
Kuna mechi ambazo huwa nina uhakika Yanga anashinda, kwa msimu uliopita pekee nimeniingizia pesa nyingi sana.
Vijana acheni kulalamika tumieni hiyo fursa kupata mitaji.
Match fixing is real, but take it in a positive way. Ukinirushia ndimu nalikamua kuwa juice
Kuna mechi ambazo huwa nina uhakika Yanga anashinda, kwa msimu uliopita pekee nimeniingizia pesa nyingi sana.
Vijana acheni kulalamika tumieni hiyo fursa kupata mitaji.
Match fixing is real, but take it in a positive way. Ukinirushia ndimu nalikamua kuwa juice