Ninavyowafahamu wateule wapya wa Rais Samia kwa historia yao ya nyuma na uhusiano wao na viongozi wa leo

Conspiracy is an act of treason. He was caught RED HAND na akatubu sasa nchi nyingine angewekwa black list.
 
Wewew axha mambo ya mahaba JPM alichotaka ni kazi kweeenda hulko!
 
Ndiyo maana tunahitaji Katiba Mpya. Tumechoshwa na ulaghai wa CCM wa miaka nenda rudi ni wale wale ama watoto wao.
 
January Makamba miongoni mwa wanasiasa wenye IQ kubwa ndo maana sikushangaa kuwa na urafiki mkubwa na Ruge RIP kwani ndege wafananao huruka pamoja sitoshangaa akija kuwa rais wetu hapo badae
IQ uliipimaje? Kipimo cha IQ ni problem solving, je, kuna tatizo alilowahi tatua ukaona ni IQ kubwa? Au wewe ni Januari unajifagilia? Au alipokuwa waziri wa hatimiliki?
 
Si ni huyu ambaye system iliwaanika wakimteta rais aliyeko madarakani? Blasphemy!
 
You never know huenda na Yeye yuko kwenye kundi mojawapo katika hayo makundi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…