Conspiracy is an act of treason. He was caught RED HAND na akatubu sasa nchi nyingine angewekwa black list.Mkuu ni lipi baya la Makamba linalomfanya awe hafai kurudi katika nafasi ya uwaziri ?
Maana kama kuondoka na kurudi barazani, watu wengi tu huwa wanafanya hivyo na mifano ipo.
1. Mwigulu Nchemba
2. George Simbachawene
3. Faustine Ndugulie n.k n.k
Kipi haswa mnakiona kwa January ?
Wewew axha mambo ya mahaba JPM alichotaka ni kazi kweeenda hulko!Uchambuzi wako kwa kiasi kikubwa nakubaliana nao. Tunarudi pale pale. Hata tubadilishe marais namna gani kila mmoja anayeingia akifanya uteuzi, ni lazima uegemee kwenye mapenzi yake kwa wateuliwa zaidi kuliko uwezo wao. Tunarudi kule kule. Bila kufumua system na kuhakikisha rais hafanyi uteuzi kwa kutumia ''mahaba'' badala ya ''uwezo'' hakuna kipya.
Ndiyo maana tunahitaji Katiba Mpya. Tumechoshwa na ulaghai wa CCM wa miaka nenda rudi ni wale wale ama watoto wao.Hivi ni sharti kila rais akiingia madarakani Mawaziri, RCs na DCs lazima wawe ni watu wale wale wa miaka yote? Kwamba uteuzi lazima uteue watu waliowahi kuwa mawaziri hata kama walitoka baadae kwa ufisadi, ni sharti uchague kutoa hao ama kuwa badirisha tu hao hao. Maana miaka yote majina ni yale yale tu
IQ uliipimaje? Kipimo cha IQ ni problem solving, je, kuna tatizo alilowahi tatua ukaona ni IQ kubwa? Au wewe ni Januari unajifagilia? Au alipokuwa waziri wa hatimiliki?January Makamba miongoni mwa wanasiasa wenye IQ kubwa ndo maana sikushangaa kuwa na urafiki mkubwa na Ruge RIP kwani ndege wafananao huruka pamoja sitoshangaa akija kuwa rais wetu hapo badae
Si ni huyu ambaye system iliwaanika wakimteta rais aliyeko madarakani? Blasphemy!Mkuu ni lipi baya la Makamba linalomfanya awe hafai kurudi katika nafasi ya uwaziri ?
Maana kama kuondoka na kurudi barazani, watu wengi tu huwa wanafanya hivyo na mifano ipo.
1. Mwigulu Nchemba
2. George Simbachawene
3. Faustine Ndugulie n.k n.k
Kipi haswa mnakiona kwa January ?
You never know huenda na Yeye yuko kwenye kundi mojawapo katika hayo makundi![emoji3][emoji3] mtifuano- tayari team mbili kati ya zile tatu zimeungana kupinga uteuzi, na kila team ina sababu zake binafsi za kupinga.
Ushauri wangu kwa mama SSH apige kazi bila kuzijali hizi team kwani kuna wakati zinajiunga nae automatically na kumdiss automatically.
Kwa sisi wazalendo tunasema kazi iendelee[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Kwani umekatazwa kuweka jina lako kamili!Huru wapi? Humu kwenye majina ya kipara kipya.?
Hii inchi haijawahi kuwa na uhuru wa maoni.