Ninawachukia Hawa.....

Ninawachukia Hawa.....

Hapo kwenye red ivi huwa inatokea?INASIKITISHA ina maana siku huna na penzi hamna Kaizer au tusemeje?

Mchungaji hii post ni very uziful

Iko hivi kwamba suala zima linachangiwa pia na ukware wetu si wanaume

Uzoefu unaonyesha kuwa kama 'umetembea' na mtoto wa kike yeyote hasa wa mjini, na kama ulishaonyesha uzoefu wa kuclear bills, hukawii kupigwa mzinga kama hivi"

"Switii, niazime 100,000 nimalizie ada ya mtoto, mwisho wa mwezi nakurudishia". SAHAU.
"Baby, kuna rafiki yangu nilimuahidi mchango wa kitchen party, niazime kama 80,000 nitakurudishia". SAHAU.


Cha kunote ni kwamba wako very strategic ni wakati gani wanaomba...inakuwaga pale ambapo mapenzi yapo kwen peak....na mind you, hizi zinakuwa nje ya zile variable costs kama bills za vinywaji, chakula, usafiri, mawasiliano (vocha za hapa na pale nk)

Mimi naona ni aina mpya ya 'utapeli' ulioingia mjini

tatizo, anakwambia hivyo sasa ole wako ukatae au useme sina, ujue hapo ndo mwisho wa penzi, au uthubutu kukumbushia, hapo imekula kwako,

Sasa mi najiuliza, kwa nini watu wanajidhalilisha hivyo? kwa nini utake kitu kwa gia ya kuazima badala ya kuomba kama usaidiwe tu huku ukijua kabisa huu ni mzinga?

Sio ustaaarabu kabisa...sio wadada, sio wakaka....
 
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi
Sisi wapanda daladala ukikutana naye siti moja hata kama alikuwa na nauli yake anakutolea macho, halafu hata ukimnunulia hiyo vocha baadae atakubip ukimpigia "Nilitaka kukushukuru kwa kuninunulia vocha ...... ha ha ha haaaaaa!
 
Sisi wapanda daladala ukikutana naye siti moja hata kama alikuwa na nauli yake anakutolea macho, halafu hata ukimnunulia hiyo vocha baadae atakubip ukimpigia "Nilitaka kukushukuru kwa kuninunulia vocha ...... ha ha ha haaaaaa!

Hahahahahah wadada wabunifu sana! Lol
 
Mchungaji hii post ni very uziful

Iko hivi kwamba suala zima linachangiwa pia na ukware wetu si wanaume

Uzoefu unaonyesha kuwa kama 'umetembea' na mtoto wa kike yeyote hasa wa mjini, na kama ulishaonyesha uzoefu wa kuclear bills, hukawii kupigwa mzinga kama hivi"

"Switii, niazime 100,000 nimalizie ada ya mtoto, mwisho wa mwezi nakurudishia". SAHAU.
"Baby, kuna rafiki yangu nilimuahidi mchango wa kitchen party, niazime kama 80,000 nitakurudishia". SAHAU.


Cha kunote ni kwamba wako very strategic ni wakati gani wanaomba...inakuwaga pale ambapo mapenzi yapo kwen peak....na mind you, hizi zinakuwa nje ya zile variable costs kama bills za vinywaji, chakula, usafiri, mawasiliano (vocha za hapa na pale nk)

Mimi naona ni aina mpya ya 'utapeli' ulioingia mjini

tatizo, anakwambia hivyo sasa ole wako ukatae au useme sina, ujue hapo ndo mwisho wa penzi, au uthubutu kukumbushia, hapo imekula kwako,

Sasa mi najiuliza, kwa nini watu wanajidhalilisha hivyo? kwa nini utake kitu kwa gia ya kuazima badala ya kuomba kama usaidiwe tu huku ukijua kabisa huu ni mzinga?

Sio ustaaarabu kabisa...sio wadada, sio wakaka....
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge

Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi

hao hapo juu ni akina dada

kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado
 
Umeandika kwa hisia sana....pole sana kama yaliisha kukuta....they are very tricky...and professional


hahaha Mchungaji...kuna jamaa kaingia mjini majuzi hapa basi ndo hivyo watoto wa mjini wanampelekesha nimemshauri hadi basi hashauriki.....

nakubaliana na wewe kuwa hao wako very professional.....wanajifanya kusahau kabisa....LOL
 
Hapo kwenye red ivi huwa inatokea?INASIKITISHA ina maana siku huna na penzi hamna Kaizer au tusemeje?

yeah Chauro, kind of...amesema Mchungaji kwamba hawa ni maprofessional lol ukikaa vibaya umeliwa mazima...

mapenzi yamebaki vitabuni tu.....

so ni trade off kati ya pesa upate sex... vis a vis mapenzi...thats it
 
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi

Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.

Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.

Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha

Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!

Hapo kwenye redi ni too much Rev.
 
Ukiona kaanza na Babe or honey ujue mzinga unafuata hapo!!
utasikia Honey, kodi ya nyumba imeisha nimepungukiwa kama laki mbili hivi nimeshalipa laki nne, naomba unikopeshe nisije tolewa kwenye nyumba,,, hahahaha Ukitoa tu SAHAU!
 
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge

Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi

hao hapo juu ni akina dada

kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado

hahaha Kamanda umeona eeh? LOL

halafu watu wanalaumu mtu kurudi kijijini....kwa hali hii hapa mjini patakalika kweli?

:biggrin1:
 
kwa hali hii mbaya ya uchumi wetu mtu akianza kukupiga mizinga ya hivyo au kukupangia zawadi ni bora ukimbie mapemaaaa kabla hali haijawa mbaya ohoooo!!!!!!
 
Ukiona kaanza na Babe or honey ujue mzinga unafuata hapo!!
utasikia Honey, kodi ya nyumba imeisha nimepungukiwa kama laki mbili hivi nimeshalipa laki nne, naomba unikopeshe nisije tolewa kwenye nyumba,,, hahahaha Ukitoa tu SAHAU!


hahaha same same scenario.....
 
Mbna nakpnd thana mpendh nlikothea kujb vby codh mwisho wa mwedh ulikuw haujafka ngj nkau2mie kwa mpetha
 
Umechukua mauzoefu ya mchungaji nini?Umewasahau wasiofanya kazi.

hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge

Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi

hao hapo juu ni akina dada

kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado
 
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi

Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.

Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.

Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha

Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!

Rev. vp, umekopwa?
Hata mimi siwapendi
 
hahahaaa.... ukweli mtupu, siku hizi ngoja nikupe formula ambayo karibia itapitishwa na kikao chao cha bunge

Viwango vya mikuki kwa sasa
wale wa UDOM - 50,000 hadi 100,000
MUCCOBS - 15,000 hadi 50,000
ST. Augustine (Buzwagi) - 30,000 hadi laki mbili
UDSM - 100,000 hadi laki tano
MUHAS - Vitabu au laki
Walioajiriwa serikalini - laki hadi milioni :dance:
Walioajiriwa NGO - bili hadi starlet
Walio kwenye corporates - Laki 2 hadi milioni tatu
Waliojiajiri - elfu saba hadi milioni kumi

hao hapo juu ni akina dada

kwa akina kaka... bado formula inapitiwa maana wengine wanaomba kuanzia fegi hadi Prado

Si mchezo nimeipenda hii
 
una kutana na mdada first day
siku ya pili anakwambia kodi ya nyumba nzima aliyopanga imekwisha.....

unabaki mdomo wazi....

as if tusingeonana ungelala stendi au??????????
 
Back
Top Bottom