Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
-
- #41
Asante sana. Nimezingatia maneno haya🙏🏾Una uwezo wa kuishi na kila binadamu, ila uwe makini na yule unayemsogeza kwenye maisha yako.
Wengine wanastaili uishi nao kwa mbali na wachache sana wanapaswa uwe nao karibu.
Kosa ni kufanya vise versa ama kuwakataa watu.
Kumbuka hata huyo unayemuona mbaya kuna namna moja ama nyingine anamsaada na wewe.
Kumkataa mtu ni sawa na kujikataa mwenyewe, cha msingi tumia akili kuishi na watu.
Upo free wakati huu? I want to make a call.Jamani, si uje nyumbani tu? Mbona hatujakufukuza
Wakati nasoma heading, nikadhani aliyeandika post hii labda ni mamba au kiboko au mbwa..!! Kumbe naye ni binadamu lakini hajiogopi yeye..!!Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.
Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.
Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.
Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Ila?Wanawake hatunyetukagi[emoji12]
Nyie ndio mtanikula kabisa😂😂Njoo uishi na sisi aliens huku Mars...
Hapana, sina nafasi plzUpo free wakati huu? I want to make a call.
Asante, sijawahi kufikiria kujitoa uhai.Ni kweli lakini ikifikia hatua ya kuwaogopa watu hadi utamani kuishi kipweke ni hatari kwako.
Jichanganye nao hivyohivyo sababu ukishindwa utaishia kuyachukia maisha yako pia... Wao ni watu, na wewe ni mtu.
Ukituona sisi sote ni wabaya lazima ufikie kujiua sababu wewe na mimi tunafanana. Ukiona watu wote hawafai hata wewe utajiona hufai na utaanza kutafuta maisha ya kipekeepekee ambayo hawezi kuyapata ukiwa hai.
Kwa kifupi wewe unahitaji daktari wa akili au unaweza kupona mwenyewe kwa kuanza kuyatazama maisha tofauti kadogo
Nyie ndio mtanikula kabisa😂😂
Ila humu ndani..Punguza nyeto binti yangu
Upo sahihi.Watu ndiyo maisha.
Ukikata uepukane na watu, basi unahitaji pumziko la milele. Kufa.
Na huko huna hakika kama hawapo. Unaweza kuwakimbia huku, alafu unaelekezwa Jehanamu.
Huko ni vilio, vijambo, machozi, ukunga, harufu ya kuungua, aaagh kubabake.
Au ukimbilie Paradiso huko ni kelele za kusifu, shangwe, kuabudu, kugigida mito ya pombe, kufanyana, eee bhanah weee.
Bakia tu humu ulipotuzoea Mkuu.
Wakikuumiza wapo watakaokufariji. Wakikuzomea wapo watakushangilia. Wakikuchukia wapo watakaokupenda.
Hakunaga upande mmoja tu.
Pole sana bibie, natumaini umeponaumenikumbusha mbali sana😿
Binadamu katika level tofauti tofauti za wanyama😂Wakati nasoma heading, nikadhani aliyeandika post hii labda ni mamba au kiboko au mbwa..!! Kumbe naye ni binadamu lakini hajiogopi yeye..!!
Embu mamdogo Amehlo njoo nisaidie kuelewa hii makitu. Dada To yeye na wewe unajiogopa? Shemela Evelyn Salt kwani huyu kapigapigaje hapo?
Kwetu virgos ni kawaida, we are overthinkers, criticizers.....tunajictriticize hata wenyewe.....huo sio ugonjwa wa kupona.....jitahidi tu kujichanganya na watu, ila kupona....nehiii🤣🤣🤣Exactly!!!
Najaribu tu kumsaidia atoke kwenye hilo gereza linalomsababishia hiz nightmeres za kuogopa watuIla humu ndani..
Mimi nadhani wewe tutaendana. Mimi pia nipo hivo hivo..natamani ningeenda kuishi kwenye kisiwa changu peke yangu.Binadamu ni hatari sana sio wa kuwachukulia poa kabisa.Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.
Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.
Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.
Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
🤣🤣🤣🤣, We umesikia wapi? (In Bwege's voice)HUwa mnajifanyaje sasa vile,just mnajisugua sugua tu et?
UZungu mwingi shidaMimi siogopi watu ila siwezi kukaa sehemu yenye watu wengi muda mrefu
Napenda kukaa peke yangu.