Ninawaogopa sana viumbe wa kuitwa binadamu

Ninawaogopa sana viumbe wa kuitwa binadamu

Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.

Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.

Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.

Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Hata mimi nakuogopa sana wewe binadamu ungejua hata usinge karibia watu.
 
Ma
Nimejikuta ninawaogopa sana binadamu kutokana na visa mbalimbali nilivyowahi kupitia kwenye maisha yangu.

Asili yangu ni ukimya na utaratibu lakini kuna wakati maisha yanahitaji ujichanganye na watu mbalimbali kutokana na mifumo yetu.
Na ndicho kipindi nilichojifunza kuwa binadamu ni kiumbe hatari mno.

Ninaogopa watu, ninaogopa miunganisho mipya, hata katika mahusiano ya kimapenzi inachukua muda mno kujiunganisha na mtu kihisia.

Sina imani na kiumbe binadamu kwenye nyanja zote za kimaisha! Japokuwa haiwezekani, lakini ninatamani niishi mahali nisiyoweza kukutana na binadamu.😔😔😔
Mama pretty pole,usingoo Maza mbaya...ogopaaa ni Hatariii(sisi ndio Binadamu)
 
Kwetu virgos ni kawaida, we are overthinkers, criticizers.....tunajictriticize hata wenyewe.....huo sio ugonjwa wa kupona.....jitahidi tu kujichanganya na watu, ila kupona....nehiii🤣🤣🤣
Muda wote wasiwasi.. this full moon imeanguka kwenye virgo.. shughuli nimeipata🙌🏼
 
Back
Top Bottom