Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Sawa nyumbu na fisi mkuu uliyekosa utimamu wa akiliSawa Ila wewe Dogo ni mpumbavu sana. Niamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nyumbu na fisi mkuu uliyekosa utimamu wa akiliSawa Ila wewe Dogo ni mpumbavu sana. Niamini
Shida yako umesoma hiyo hoja bila kuiunganisha na hoja zingine.
1. CHADEMA wamesema Jimbo moja liwe na idadi kadhaa ya watu.
2. CHADEMA wamesema Tume huru iwe na mamlaka ya kuongeza ama kupunguza majimbo.
Kwa hizo hoja hapo juu Kuna mambo mawili yatatokea.
1. Tume huru inaweza kupunguza majimbo mengi.
2. Viti maalum hawatakuwepo.
Sasa ukipunguza idadi ya viti maalumu mia na kupunguza majimbo kadhaa idadi inafika.
Ndo wazazi wako walivyokulea. Aibu ni kwao.Mleta mada ni mpumbavu
Madai yako umetoboa hoja🤣🤣🤣🤣😁.Ni vipi kama wabunge watakuwa wengi kwa maana ya kuhudumia wananchi, kisha mishahara Yao ikapunguzwa zaidi ya nusu ya Sasa? Je wakipunguza posho za Sasa za wabunge, sambamba na kupunguza vikao vya bunge, huoni kama suala la gharama halitakiwepo. Tatizo ni hiyo kuongelea mapendekezo ya cdm, katika mtazamo wa kiccm.
Kwa taarifa yako huko uwanjani wachezaji huwa 11 Kila upande, lakini Kila team huwa na mbinu au mfumo wake wa kiuchezaji.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii ni VIVAAA JPM😁😁😁..nawaunga mkono.
..kila nafasi iwe na mwanamke na mwanaume.
..hata RAIS awepo mwanamke na mwanaume.
Agenda gani? Hapa Tanzania wanawake ni zaidi ya 50% sasa kuna kosa gani wakipewa equal footing?
Sisi Chadema tuliweka wagombea 70 wa majimboni kuwa wanawake yaani hatutaki viti maalum ndio viwapeleke bungeni but wapambanie majimboni.
So hii strategy sio ya kuleta 50-50 ya mezani bali competitive kwamba mwanamke apambanishwe na mwanaume wananchi waamue based on their competency sio jinsia.
Pyumbafu sana chademaKuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".
Ni kweli kabisa mkuu, na hii itaipa nafasi kubwa sana chadema kuingia bungeni mana nafasi imeongezekaHiyo ndio maana ya maoni tofauti
Hapana viti maalumu wamesema viendelee kuwepo na visipungue asilimia 30% ya wabunge wote.Wanamaanisha viti maalum viondolewe na badala yake wanawake wagombee ili kuweka usawa wa kijinsia.
Ni wapi kwenye mapendekezo wamesema hivi?Umedakia hoja usiyoijua. Mapendekezo ya CHADEMA ni majimbo yapunguzwe mpaka 70 kwa. Na kila Jimbo liwe na wabunge wawili pekee. Jumla majimbo 140. Tatizo unakimbilia kwenye conclusion bila kuangalia chanzo.
Wawili wawili ili iwaje?Ndio maana CHADEMA wamependekeza majimbo yapitiwe upya. Ina maana majimbo yapunguzwe. Tuwe na majimbo machache yenye wabunge wawili wawili.
Bado hujasema,muda ukifika utasema tuu maana cdm ni sawa na majiLeo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine.
Hata kama sikubaliani na maoni yao yote ila nakubaliana na namna walivyojitahidi kupanga hoja zao.
Nawapongeza pia kutoruhusu kila kada wa Ufipa na kupost maoni kwenye social media hali inayofanya CHADEMA ionekane kama familia ya kambale kila mwanafamilia ana ndevu.
Imezoeleka huko UFIPA kila mtu ni msemaji wa chama. Pia nakipongeza ACT kwa kuwafundisha CHADEMA siasa za kisomi. ACT wao hutoa matamko yao kisomi na sio kila mwanachama kuropoka mitandaoni.
Maoni mengi sio mabaya kwa kutolewa na chama cha siasa kinachotaka kushika dola ingawa maoni mengi ni copy & paste toka kwenye rasimu ya Warioba. Mimi nimeshangazwa sana na hoja namba 5 inayosomeka hivi:
"Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".
Hii ni hoja ambayo haikutakiwa kutolewa na chama kinachojinadi kuguswa na mzigo wa kodi walio nao wananchi kugharamia uendeshaji wa serikali. Yaani kwenye hizi zama tunazotaka wabunge wapungue kutoka 393 hadi labda 100 wao CHADEMA ndo wanataka waongezeke wengine? inashangaza na kutia hasira mno.
Wabunge wa kuchaguliwa mwaka 2020 walikuwa 264 kwahiyo kwa hesabu za hovyo za Ufipa wanataka waongezeke wengine 264. Hoja yao hii ikipita tutakuwa na wabunge zaidi ya 528 kwenye bunge lijalo. INAKERA SANA kuwa na upinzani unaowaza jinsi gani waingie madarakani na kutafuna kodi za wananchi.
Ninashauri hoja za CHADEMA zisomwe kwa utulivu mkubwa kwasababu kuna hoja zina nia ovu kwa mwananchi mlipa kodi. Hoja zao zimejikita kushika dola zaidi bila kujali maumivu atakayopata mtanzania.
Pia wanaCCM na wazalendo tusichoke kukiadhibu hiki chama cha Mbowe kila fursa ya sanduku la kura inapojitokeza. Kuanzia ngazi ya kitongoji lazima tukiadhibu CHADEMA.
Huyo ni chumia tumbo tuUnaamini kwenye vyama kwani?
Mafisi ni waliokuzalia kwenye mkesha wa mbio za mwengeCHADEMA ni mafisi kama ulivyosema.
Anajua ila smeamua kujitoa akiliWanamaanisha viti maalum viondolewe na badala yake wanawake wagombee ili kuweka usawa wa kijinsia.
Equal footing ni kugombea, kwani waliopo Bungeni wamefikaje?Agenda gani? Hapa Tanzania wanawake ni zaidi ya 50% sasa kuna kosa gani wakipewa equal footing?
Sisi Chadema tuliweka wagombea 70 wa majimboni kuwa wanawake yaani hatutaki viti maalum ndio viwapeleke bungeni but wapambanie majimboni.
So hii strategy sio ya kuleta 50-50 ya mezani bali competitive kwamba mwanamke apambanishwe na mwanaume wananchi waamue based on their competency sio jinsia.
Wewe ni fisi na nyumbu mkubwa .Mafisi ni waliokuzalia kwenye mkesha wa mbio za mwenge
Mbona inaonekana wewe ndiyo mpumbavu?Mleta mada ni mpumbavu
Mapendekezo ya Mmawia ni.Ni vipi kama wabunge watakuwa wengi kwa maana ya kuhudumia wananchi, kisha mishahara Yao ikapunguzwa zaidi ya nusu ya Sasa? Je wakipunguza posho za Sasa za wabunge, sambamba na kupunguza vikao vya bunge, huoni kama suala la gharama halitakiwepo. Tatizo ni hiyo kuongelea mapendekezo ya cdm, katika mtazamo wa kiccm.
Kwa taarifa yako huko uwanjani wachezaji huwa 11 Kila upande, lakini Kila team huwa na mbinu au mfumo wake wa kiuchezaji.
Nyumbu ni mamako na babako wewe kafiriiNaona sindano na dawa imekuingia vyema fisi na nyumbu wa CHADEMA.