Pre GE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

Pre GE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida yako umesoma hiyo hoja bila kuiunganisha na hoja zingine.

1. CHADEMA wamesema Jimbo moja liwe na idadi kadhaa ya watu.

2. CHADEMA wamesema Tume huru iwe na mamlaka ya kuongeza ama kupunguza majimbo.


Kwa hizo hoja hapo juu Kuna mambo mawili yatatokea.

1. Tume huru inaweza kupunguza majimbo mengi.
2. Viti maalum hawatakuwepo.

Sasa ukipunguza idadi ya viti maalumu mia na kupunguza majimbo kadhaa idadi inafika.
Akili kubwa
 
Wewe nilishasema utakuwa sawa mpaka urejee tena hospitalini kumalizia matibabu ya magonjwa ya akili yanayokusumbua. Lakini pia ni lazima uache kuvuta mibangi yako.
Mtoto wa mkesha wa mbio za mwenge kwahiyo babako ni Mwenge
 
Kila jimbo liwe na Me na Ke? Hii ni kitu gani jamani? Hebu tuwe serious jamani, me na ke kila jimbo ili iweje, kwa faida ya nani? Kwani kinachoangaliwa ni nini kwa hao wawakilishi wa wananchi?
 
Mkuu majimbo yako 264 kwahiyo wakisema waweke huo usawa tutakuwa na wabunge 528 wa kuchaguliwa ambao ni zaidi ya hawa waliopo. Utakuwa ni mzigo mwingine mzito kwa wananchi.
Viti maalum hatuwahitaji kabisa bungeni maana kazi yao ni kupiga vigeregere tu
 
Ni vipi kama wabunge watakuwa wengi kwa maana ya kuhudumia wananchi, kisha mishahara Yao ikapunguzwa zaidi ya nusu ya Sasa? Je wakipunguza posho za Sasa za wabunge, sambamba na kupunguza vikao vya bunge, huoni kama suala la gharama halitakiwepo. Tatizo ni hiyo kuongelea mapendekezo ya cdm, katika mtazamo wa kiccm.

Kwa taarifa yako huko uwanjani wachezaji huwa 11 Kila upande, lakini Kila team huwa na mbinu au mfumo wake wa kiuchezaji.
Sasa vikao vipungue lakini wabunge wajazane
 
Mkuu Tindo unadhani bunge la wabunge wengi lina tija yoyote kwa taifa? Kupunguza mishahara si kitu kirahisi. Wabunge kwenye maslahi yao huungana na kuwa kitu kimoja bila kujali vyama. Kama hoja ni uwakilishi unadhani kuna mbunge gani anamzidi kuwasemea wananchi kama baadhi ya wanaharakati wa mitandaoni Malisa, Mange, na wengine? Kwa huu ulimwengu wa digital inapaswa bunge liwe na watu wachache wenye weledi.
Ccm lazima itoke madarakani
 
Shida yako umesoma hiyo hoja bila kuiunganisha na hoja zingine.

1. CHADEMA wamesema Jimbo moja liwe na idadi kadhaa ya watu.

2. CHADEMA wamesema Tume huru iwe na mamlaka ya kuongeza ama kupunguza majimbo.


Kwa hizo hoja hapo juu Kuna mambo mawili yatatokea.

1. Tume huru inaweza kupunguza majimbo mengi.
2. Viti maalum hawatakuwepo.

Sasa ukipunguza idadi ya viti maalumu mia na kupunguza majimbo kadhaa idadi inafika.
Hili ni wazo la Kijinga kutolewa na Chama cha Chadema.....
 
Idadi ya wabunge haina uhusiano na maendeleo maana hata hawa 300 hawareflect maendeleo tulio nayo. Ni mzigo tu kwa walipa kodi na kuongeza ulaji tu. Hata viti maalum ingefutwa tu ili watu haijalishi jinsia wakagombee tu kwenye majimbo.
Hajaeleza impact ya hao Wabunge wawili kila Jambo ktk Maendeleo ya Jimbo....
 
Theoretically inawezekana lakini practically haiwezekani.
Hao wabunge watahitaji makazi, magari, sijui pesa ya mbunge, vishikwambi, mafita lita 1000. Ni mzigo mkubwa kwa wananchi.
Maendeleo hayaletwi na kujaza wabunge na msululu wa mawaziri. Sijui Afrika tumerogwa na nani
Na haya mambo ya kila jimbo kuwa na mgombea wa kike na kiume kuleta usawa ni ya ajabu kabisa. Watu hawachaguliwi kwa jinsia. Baadaye tutaanza sasa awepo anayewakisha wakristo na waislam.
Hata walioleta haya mawazo ya usawa wa kijinsia hawafanyi ujinga huu
Kumbuka kuna suala la kupunguza idadi ya majimbo ya uchaguzi na posho
 
Back
Top Bottom