Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
DuuuuuuNa wewe nakupongeza kwa mada nzuri lakini hoja hauna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuuuuNa wewe nakupongeza kwa mada nzuri lakini hoja hauna
Akili kubwaShida yako umesoma hiyo hoja bila kuiunganisha na hoja zingine.
1. CHADEMA wamesema Jimbo moja liwe na idadi kadhaa ya watu.
2. CHADEMA wamesema Tume huru iwe na mamlaka ya kuongeza ama kupunguza majimbo.
Kwa hizo hoja hapo juu Kuna mambo mawili yatatokea.
1. Tume huru inaweza kupunguza majimbo mengi.
2. Viti maalum hawatakuwepo.
Sasa ukipunguza idadi ya viti maalumu mia na kupunguza majimbo kadhaa idadi inafika.
Hapana hatutasema. Tutawaonyesha kwa vitendo kwenye sanduku la kura.Bado hujasema,muda ukifika utasema tuu maana cdm ni sawa na maji
Zitawamaliza Bsbako na mamakoBangi bangi bangi zitakumaliza
Mtoto wa mkesha wa mbio za mwenge kwahiyo babako ni MwengeWewe nilishasema utakuwa sawa mpaka urejee tena hospitalini kumalizia matibabu ya magonjwa ya akili yanayokusumbua. Lakini pia ni lazima uache kuvuta mibangi yako.
Viti maalum hatuwahitaji kabisa bungeni maana kazi yao ni kupiga vigeregere tuMkuu majimbo yako 264 kwahiyo wakisema waweke huo usawa tutakuwa na wabunge 528 wa kuchaguliwa ambao ni zaidi ya hawa waliopo. Utakuwa ni mzigo mwingine mzito kwa wananchi.
Sasa vikao vipungue lakini wabunge wajazaneNi vipi kama wabunge watakuwa wengi kwa maana ya kuhudumia wananchi, kisha mishahara Yao ikapunguzwa zaidi ya nusu ya Sasa? Je wakipunguza posho za Sasa za wabunge, sambamba na kupunguza vikao vya bunge, huoni kama suala la gharama halitakiwepo. Tatizo ni hiyo kuongelea mapendekezo ya cdm, katika mtazamo wa kiccm.
Kwa taarifa yako huko uwanjani wachezaji huwa 11 Kila upande, lakini Kila team huwa na mbinu au mfumo wake wa kiuchezaji.
Aliye kuroga alifia burigiKwa chadema wanaweza kugombea mtu na mkewe, maana wabunge wa viti maalum wote ni menu ya viongozi
Ccm lazima itoke madarakaniMkuu Tindo unadhani bunge la wabunge wengi lina tija yoyote kwa taifa? Kupunguza mishahara si kitu kirahisi. Wabunge kwenye maslahi yao huungana na kuwa kitu kimoja bila kujali vyama. Kama hoja ni uwakilishi unadhani kuna mbunge gani anamzidi kuwasemea wananchi kama baadhi ya wanaharakati wa mitandaoni Malisa, Mange, na wengine? Kwa huu ulimwengu wa digital inapaswa bunge liwe na watu wachache wenye weledi.
Wewe mwenyewe ni tusiAcha matusi.
Ccm lazima ituwachie nchi yetuKwa uroho wa ubunge ni kuwa hawa wanasiasa wetu wa vyama vyote wanatamani majimbo yaongezwe na sio kupunguzwa. Unachosema ni ngumu kutokea.
Hawezi kuiongelea maana ni hoja ya kujenga na siyo ya kubomoaHoja ya CDM ya majimbo kupitiwa upya na kupangwa na Tume Huru Ya Uchaguzi kulingana na idadi ya watu hujaiona?
KajinyongeYaani kwa matusi haya, sijui.....
100%Viti maalum vifutwe
Hili ni wazo la Kijinga kutolewa na Chama cha Chadema.....Shida yako umesoma hiyo hoja bila kuiunganisha na hoja zingine.
1. CHADEMA wamesema Jimbo moja liwe na idadi kadhaa ya watu.
2. CHADEMA wamesema Tume huru iwe na mamlaka ya kuongeza ama kupunguza majimbo.
Kwa hizo hoja hapo juu Kuna mambo mawili yatatokea.
1. Tume huru inaweza kupunguza majimbo mengi.
2. Viti maalum hawatakuwepo.
Sasa ukipunguza idadi ya viti maalumu mia na kupunguza majimbo kadhaa idadi inafika.
Hajaeleza impact ya hao Wabunge wawili kila Jambo ktk Maendeleo ya Jimbo....Idadi ya wabunge haina uhusiano na maendeleo maana hata hawa 300 hawareflect maendeleo tulio nayo. Ni mzigo tu kwa walipa kodi na kuongeza ulaji tu. Hata viti maalum ingefutwa tu ili watu haijalishi jinsia wakagombee tu kwenye majimbo.
Kumbuka kuna suala la kupunguza idadi ya majimbo ya uchaguzi na poshoTheoretically inawezekana lakini practically haiwezekani.
Hao wabunge watahitaji makazi, magari, sijui pesa ya mbunge, vishikwambi, mafita lita 1000. Ni mzigo mkubwa kwa wananchi.
Maendeleo hayaletwi na kujaza wabunge na msululu wa mawaziri. Sijui Afrika tumerogwa na nani
Na haya mambo ya kila jimbo kuwa na mgombea wa kike na kiume kuleta usawa ni ya ajabu kabisa. Watu hawachaguliwi kwa jinsia. Baadaye tutaanza sasa awepo anayewakisha wakristo na waislam.
Hata walioleta haya mawazo ya usawa wa kijinsia hawafanyi ujinga huu