Pre GE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

..nawaunga mkono.

..kila nafasi iwe na mwanamke na mwanaume.

..hata RAIS awepo mwanamke na mwanaume.
 
Madai yako umetoboa hoja🤣🤣🤣🤣😁.



Ukiondoa uchawa wa Chama huwa unakuwa na hoja mnoo

🏃🏃🏃
 

..kwanini tunawawezesha kwenye ubunge peke yake?

..au kwanini ni kwenye nafasi za kisiasa peke yake?

..kwanini hatuwawezeshi kwenye maeneo mengine?
 
Umedakia hoja usiyoijua. Mapendekezo ya CHADEMA ni majimbo yapunguzwe mpaka 70 kwa. Na kila Jimbo liwe na wabunge wawili pekee. Jumla majimbo 140. Tatizo unakimbilia kwenye conclusion bila kuangalia chanzo.
Ni wapi kwenye mapendekezo wamesema hivi?
 
Bado hujasema,muda ukifika utasema tuu maana cdm ni sawa na maji
 
Equal footing ni kugombea, kwani waliopo Bungeni wamefikaje?
Ok tuseme last time Uchaguzi uliibiwa, miaka ya nyuma vipi?
Kipindi kina Mdee wanashinda kawe walishindanishwa na wanawake wenzao?

Ni mjinga tu ndio hataona Kinachotafutwa hapo......
 
Mleta mada ni mpumbavu
Mbona inaonekana wewe ndiyo mpumbavu?

Kama ungekuwa una akili ungekosoa hoja zake na kuonesha mapungufu ya hoja yake.

Kukimbilia kumtukana mtoa hoja ni kudhihirisha huna akili ya kuelewa hoja yake, na huna uwezo wa kuonesha mapungufu ya hoja yake.
 
Mapendekezo ya Mmawia ni.

1.Viti maalum vitolewe kabisa visiwepo.

2. Mishahara ya wabunge ipunguzwe iwe ni sh 1m .

3.Posho za wabunge zipunguzwe na kuwa sh 100k kwa siku.

4. Wapewe mkopo wa magari ya kawaida kabisa ya sh 30m.

Kusiwepo na kiinua mgongo mwisho wa term za kibunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…